Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,848
- 9,455
Serikali ya wanafunzi wa Udom imekasirishwa na kitendo alichokifanya Thobi Richard na muda wote ilikuwa inafikiria namna ya kumuadabisha dogo. Kwa habari iliyonifikia muda huu kutoka ndani ya cabinet ni kwamba dogo anaweza akavuliwa uwaziri na serikali ya wanafunzi watatoa tamko rasmi la kimaandishi.