Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,867
Aliyeandika story kwa kuandika jina moja la mtengeneza habari(Sir name) kafungiwa miezi sita,aliyetweet taarifa ya Uongo iliyoleta taharuki hata kuonywa hajaonywa.
Hapo ndipo namkumbuka Prof Jay na mashairi yake....
"Bongo eeeh
Bongo Dar es Salaam
Utalia lia lia lia
Ndani ya Dar es Salaam"
Hapo ndipo namkumbuka Prof Jay na mashairi yake....
"Bongo eeeh
Bongo Dar es Salaam
Utalia lia lia lia
Ndani ya Dar es Salaam"