Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,236
Kuna jamaa hapa mtaani kwetu alikataa kunitendea haki eti kwa sababu hata serikali ya ccm haitendi haki kwa kuwahifadhi na kuwakumbatia mafisadi....baada ya hapo nikashindwa kuendelea kudai haki yangu baada ya kuchomwa na ukweli......Je,viongozi wasipokubali kutenda haki kwa vitendo, watu wa kawaida watatendeana haki kweli?