Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhan yote hii hutokana na madhara ya kutawaliwa na chama kimoja tangu uhuru mpaka sasa.Huyo aliyejenga, aliyesimamia, aliyeidhinisha ndiyo Watanzania halisi.
Kwa mambo kama hayo ndiyo nnapokubaliana na Donald Trump. Afrika bado sana kujitawala, inabidi tutawaliwe kwa miaka mingine mia mbili.
Nadhan yote hii hutokana na madhara ya kutawaliwa na chama kimoja tangu uhuru mpaka sasa.
Hakuna mawazo mapya kila siku wimbo ni ule ule tu yaan umasikini, maladhi na ujinga.
wamejitambua na ndio maana wakaondoka wenyewe CCM
Hapana faiza magufuli mwenyewe anatosha kututawala..si unaona mpera mpera hadi watu wanaomba poo..upotevu wa faru wenyewe umeundiwa kamati..unadhani watu watacheza na nyara za serikali..watachezewa wanyama nyumbu tuHuyo aliyejenga, aliyesimamia, aliyeidhinisha ndiyo Watanzania halisi.
Kwa mambo kama hayo ndiyo nnapokubaliana na Donald Trump. Afrika bado sana kujitawala, inabidi tutawaliwe kwa miaka mingine mia mbili.
Dada umesema kweli kabisa,na ukweli huwa mchungu sanaHuyo aliyejenga, aliyesimamia, aliyeidhinisha ndiyo Watanzania halisi.
Kwa mambo kama hayo ndiyo nnapokubaliana na Donald Trump. Afrika bado sana kujitawala, inabidi tutawaliwe kwa miaka mingine mia mbili.