Lakikunene
Member
- Jul 18, 2017
- 98
- 92
Kuna ndugu yangu aliwahi kuugua kifua kikuu (TB) akapona imepita miezi 2 toka apone, sasa majuzi aliniambia ameanza kujisikia kama kikohozi kinamuanza hivi wakati wa usiku na hali fulani ya koo kuwasha.
Je yaweza kuwa ni TB imerudi tena??? Ilhali alitibiwa na kupona kabisa na hana maradhi mengine kabisa na alipona kabisa
Wataalam naombeni mnijuze
Je yaweza kuwa ni TB imerudi tena??? Ilhali alitibiwa na kupona kabisa na hana maradhi mengine kabisa na alipona kabisa
Wataalam naombeni mnijuze