Alivyotoroshwa Akasha

Mnyamahodzo

JF-Expert Member
May 23, 2008
1,932
985
Salaam wakuu!!

Miaka ya tisini mwanzoni kuna mfanyabiashara mmoja ambaye pia alikuwa akifanya biashara ya dawa za kulevya alikamatwa yeye gari lake. Gari lake hilo (tractor/kichwa) kilikaa muda mrefu sana pale Polisi Kilwa road aka Ufundi. Inasemekana huyu jamaa alitoroshewa Kenya kwa msaada wa wakuu wa Polisi akitokea hospitali.

Tafadhali naomba info zaidi kwa wanaojua.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom