Mnyamahodzo
JF-Expert Member
- May 23, 2008
- 1,932
- 985
Salaam wakuu!!
Miaka ya tisini mwanzoni kuna mfanyabiashara mmoja ambaye pia alikuwa akifanya biashara ya dawa za kulevya alikamatwa yeye gari lake. Gari lake hilo (tractor/kichwa) kilikaa muda mrefu sana pale Polisi Kilwa road aka Ufundi. Inasemekana huyu jamaa alitoroshewa Kenya kwa msaada wa wakuu wa Polisi akitokea hospitali.
Tafadhali naomba info zaidi kwa wanaojua.
Miaka ya tisini mwanzoni kuna mfanyabiashara mmoja ambaye pia alikuwa akifanya biashara ya dawa za kulevya alikamatwa yeye gari lake. Gari lake hilo (tractor/kichwa) kilikaa muda mrefu sana pale Polisi Kilwa road aka Ufundi. Inasemekana huyu jamaa alitoroshewa Kenya kwa msaada wa wakuu wa Polisi akitokea hospitali.
Tafadhali naomba info zaidi kwa wanaojua.