haiathiri ili mradi wakati unaapply chuo unachagua cheti ukitumiachoHivi mtu akirisiti somo mfano: Amesoma pcb ila anataka arisit labda physics tu ...je akishindwa kulifauli inaathiri matokeo ya mwanzo.??? Na je kuna uwezekano wa kuli reseat tena kwa wakati mwengine.?
anaweka vyoteYan mtu akirisit somo moja unachaguaje chet,,