mcfm40
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,452
- 3,150
Huwa nawashangaa sana watu wanaodai eti magufuli anakuja kufanya yale yalimshinda Kikwete. sasa najuliza Kikwete mtoto wa mjini kashindwa atawezaje Magufuli ambaye hata system inavofanya kazi hajui? Ikitokea magufuli akashinda namwona akichukua si chini ya miaka miwili kushangaa shangaa pale ikulu. Mpaka ushamba umtoke itachukua kipindi chote cha mika mitano. Tofauti na lowasa ambaye tayari anajua nini anataka kufanyaakifika pale ikulu na ni nini ataanza nacho! Na pia lowasa tayari ana uzoefu na maisha hayo ya kiikulu ikulu kwa hiyo hatahitaji muda wa kuaclamatize! Eti atapamba na mafisadi. utawezaj kufanya hayo wakati huijui hata system? Kikwete mafisadi walimshinda akajikuta naye anajiunga nao na kuwa fisadi sembuse magufuli ambaye kila kitu atakuwa anaongozwa?
On a serios note: Hivi kuna mtu anaamini magufuli atakuwa bora kuliko kikwete? Magufuli ambaye hakuwa na vision yoyote anasubiri kina kinana na Makamba wamwambie sema hivi na bahati mbaya anajikuta hata akishindwa kuifikisha message km ilivyotarajiwa! Mfano walipomwambia aseme mabadiliko yataleta vita na atolle mfano wa Libya. matokeo yake kajichanga. mara unamsikia akisema atafufua kiwanda cha nyama kilichokufa kumbe kiwanda chenyewe anchozungumzia ni cha ngozi au viatu! madhara ya kukaririshwa! Tumwombe mwenyezi mungu atuepushie mbali na huyu mtu ambaye atakuwa the worst ever president kutokea Tanzania km akichaguliwa! Lowasa ana mapungufu lakini ana nafuu sio sawa na huyu magugfuli. kukurupuka na na kukosa busara ni vitu hatari sana kwa mtu anayetaka nafasi kubwa ya urais. l
On a serios note: Hivi kuna mtu anaamini magufuli atakuwa bora kuliko kikwete? Magufuli ambaye hakuwa na vision yoyote anasubiri kina kinana na Makamba wamwambie sema hivi na bahati mbaya anajikuta hata akishindwa kuifikisha message km ilivyotarajiwa! Mfano walipomwambia aseme mabadiliko yataleta vita na atolle mfano wa Libya. matokeo yake kajichanga. mara unamsikia akisema atafufua kiwanda cha nyama kilichokufa kumbe kiwanda chenyewe anchozungumzia ni cha ngozi au viatu! madhara ya kukaririshwa! Tumwombe mwenyezi mungu atuepushie mbali na huyu mtu ambaye atakuwa the worst ever president kutokea Tanzania km akichaguliwa! Lowasa ana mapungufu lakini ana nafuu sio sawa na huyu magugfuli. kukurupuka na na kukosa busara ni vitu hatari sana kwa mtu anayetaka nafasi kubwa ya urais. l