Alisema Marehemu Deo Filikunjombe

Zipuwawa

JF-Expert Member
Nov 28, 2010
3,051
653
Wakuu
Tumkumbuke Marehemu Deo Fillikunjombe aliposema kuna mawaziri si waaminifu ni hatua gani zilichukuliwa. Leo sauti yake inabaki pale pale kuna viongozi si waaminifu. Kwanini wabunge wa ccm wasimuenzi marehemu Deo Fillikunjombe?
 

Attachments

  • Kunjombe.mp3
    3.8 MB · Views: 23
Pumzika kwa amani rafiki yangu Deo. Mabazazi wa IPTL ambao wanahusika na kuondoka kwako leo cha moto wanakiona, laana yako haitowaacha kamwe.
Leo hadi nikamkumbuka Deo. .......
 
Wakuu
Tumkumbuke Marehemu Deo Fillikunjombe aliposema kuna mawaziri si waaminifu ni hatua gani zilichukuliwa. Leo sauti yake inabaki pale pale kuna viongozi si waaminifu. Kwanini wabunge wa ccm wasimuenzi marehemu Deo Fillikunjombe?
Unauliza hatua? Ilikuwa kumtanguliza mbele za haki. Wewe unaijua chama dola wewe, ? Siku ukimkuta mbinguni kamuulize. RIP Deo
 
Aisee. Mungu amlaze mahali pema peponi, Mh.Deo Filikunjombe. Unajua mambo haya yanaweza kusababisha hit squad za kubalansi unyama uliofanywa dhidi ya wale waliokufa ndani ya Helikopta iliyokuwa imembeba, Mh. Deo. Na mara nyingi hit squad hizi..... hacha niishie hapa maana inauma sana. Nenda na R.I
P Deo.
Wote waliopanga na kutekeleza zoezi la kuangusha helikopta iliyombeba Deo wakiongozwa na Singa singa
Aise
 
Aisee. Mungu amlaze mahali pema peponi, Mh.Deo Filikunjombe. Unajua mambo haya yanaweza kusababisha hit squad za kubalansi unyama uliofanywa dhidi ya wale waliokufa ndani ya Helikopta iliyokuwa imembeba, Mh. Deo. Na mara nyingi hit squad hizi..... hacha niishie hapa maana inauma sana. Nenda na R.I
P Deo.
Aise
Inauma na kutia hasira
 
Back
Top Bottom