Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,594
- 5,568
Kupewa magazeti sio kuzijua , kumbuka huyu n rais anatakiwa apate taarifa kamili itakayo mwezesha kufanya maamuz na sio taarifa za magazet
kwa hili sidhan kama atakuja na maamuz mujarabu,maana za kuambiwa inapaswa uchanganye,yeye ataishia kusema 'Nimeambiwa.........nimeambiwa.........nimeambiwa.......