jsenyinah
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 249
- 338
Wandugu, aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA Dk Wilbroad Slaa ni kama amefikia siasa za ukingoni.
Kwanza kabisa, yupo nje na chama cha siasa, hana mvuto, hana nguvu na ushawishi.
Dk huyu so yule tuliyemzoea na cheche zake kwenye majukwaa na kipingi kile akiwa Mbunge.
Mwenye kujua alipo huyu Daktari na mipango yake kisiasa.......
Kwanza kabisa, yupo nje na chama cha siasa, hana mvuto, hana nguvu na ushawishi.
Dk huyu so yule tuliyemzoea na cheche zake kwenye majukwaa na kipingi kile akiwa Mbunge.
Mwenye kujua alipo huyu Daktari na mipango yake kisiasa.......