Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,301
- 4,681
Heshima mbele wakuu,
Katika thread hii tutapata kukumbushana kauli zilizowahi kutolewa na wanamichezo Duniani kote.
Kila mtu kwa kumbukumbu yake anafulsa ya kubandika Quotes iliyowahi kumfurahisha ama kumchukiza katika medani ya Michezo. Pia ni ruhsa kuelezea kauli hiyo ilitolewa lini ama kwa tukio lipi.
BISMILLAH.
Katika thread hii tutapata kukumbushana kauli zilizowahi kutolewa na wanamichezo Duniani kote.
Kila mtu kwa kumbukumbu yake anafulsa ya kubandika Quotes iliyowahi kumfurahisha ama kumchukiza katika medani ya Michezo. Pia ni ruhsa kuelezea kauli hiyo ilitolewa lini ama kwa tukio lipi.
BISMILLAH.