Umejuaje huyu ni rangi nyeusi?Huyo jamaa hana muda na wewe kabisa.... tangu lini ukaona mhindi anaoa ngozi nyeusi??
Futa mawazo yake kwako na endelea kupambana ili mtoto wako kwa hapo baadae aje kuwa na maisha mazuri....
Achana naye itaonekana unafuatilia uume.Anzisha yako.Nimezaa na kaka mmoja (Muhindi) mwanzo nilipata amani kabla sijazaa nikiwa na mimba ya miezi 8 ndio aliamua kuondoka bila taarifa na kuniachia mzigo mkubwa wa kulea mimba na mpaka mtoto.
Nikasikia amerudi hajanitafuta mpaka kaondoka tena na sasa hivi amerudi na mwanangu ana mwaka na miezi 2 hivi nimfuate au niachane naye tu.
Maelezo yake yapo wazi mkuu....Umejuaje huyu ni rangi nyeusi?
Mr Miller.Mpenzi wake nani?
AmeshaniachaMr Miller.
Basi nakuja kuongeza wa pili sawa???Ameshaniacha