Duuuhx!!!! Sawa mdogo wangu kajembejrMuhindi sio mzungu dada Mayasa.... Hao hawachangamani na magolo... Labda alikuwa anakutumia kwa hamu zake... Usitegemee lolote kutoka kwake... Unajua kwanini amerudi hajakutafuta? Amejua umepata mtoto.. Hatakutafuta tena hawataki kusikia hiyo habari kabisa. Ungekuwa bado hujazaa angekutafuta muendeleze mchezo wenu... Lakini kwasasa hutamuona tena. Huyo mtoto ni wako, jitahidi kutafuta umtunze.. Na usitegemee kabisa kama muhindi atajali au kumtafuta mwanae kama ilivyo desturi za wazungu...
TumefnyajeWanawake bwana.
Hivi bdo hjmaliza zoezMpeleke kwa Makonda tu
Sawa wangu ntajitahidwewe ha msingi mfate asijifanye hajui majukumu tena na vitisho mwambie nakupeleka usawi wa jamii usi mchekee, awe anatoa matumizi maana sio vyema kujiona mjanja kwa kukimbia watoto
Wakati unamkatia mauno huyo muhindi ulikuwa hujui km kuna kupata mimba?Tumefnyaje
Wanatukn=xAsante kwa maelezo yako nosspass,jpo wengine wanatukn
Tumefanyaje.Tumefnyaje
Hivi bado hajamaliza zoezi.Hivi bdo hjmaliza zoez
Duuuh!!!!! Mbona kama unajipa magonjwa kwa kupaniki jambo hata halikuhusu mkuu....Huwa hauli liboro lake?? I think it's okay for to be accountable for results of your faults.
"Mgabe anasema msichana akipewa urembo akanyimwa akili kichwani mateso inapata papuchi yake" tulia ulee nyau wewe unapenda slope..! Ukiona mteremko ujue ukisha kuna mpando pandisha sasa.
Umeona eeh yaan kma ananipa kulaDuuuh!!!!! Mbona kama unajipa magonjwa kwa kupaniki jambo hata halikuhusu mkuu....