mayasa saidi
Member
- Apr 18, 2018
- 56
- 51
Nimezaa na kaka mmoja (Muhindi) mwanzo nilipata amani kabla sijazaa nikiwa na mimba ya miezi 8 ndio aliamua kuondoka bila taarifa na kuniachia mzigo mkubwa wa kulea mimba na mpaka mtoto.
Nikasikia amerudi hajanitafuta mpaka kaondoka tena na sasa hivi amerudi na mwanangu ana mwaka na miezi 2 hivi nimfuate au niachane naye tu.
Nikasikia amerudi hajanitafuta mpaka kaondoka tena na sasa hivi amerudi na mwanangu ana mwaka na miezi 2 hivi nimfuate au niachane naye tu.