Aliniumiza, halafu bado ananipigia simu

Amekumbuka ulivyokuwa unamgegeda hebu mrudie umpige tena kitu kizito afu unapotea
 
mteme jombaaa asilete ishu za kimashatu arifuuu uyo atakuwa alidanganywa na mtu katumika kakukumbuka wewe alivokuta kule sio alivotegemea
 
Nilifunzwa kuwa mwanaume kuonyesha umeumizwa na mapenzi wakt mwengine sio vzr, inabid ujikaze tu hata Kama umeumizwa Ila Kuna huyu Mwanamke ameniumiza acha niseme niliwai kuwa nae ktk mahusiano nilimpenda lakin baadae akafanya ujinga Sana nikaamua kuachana nae..lakin kila siku ananipigia simu halafu anachoongea cha maana hakuna.
Ananikwaza kwa sababu zifuatazo
1. Kwanza nahis kwa sababu anajua nampenda kwa hiyo anafanya makusudi. Kwa sababu anajua kwenye mapambano Yale ye ndo mshindi.
2.Ananikwaza kwa sababu ananikumbusha mambo ambayo nilishayasau.

Nimemwambia asinipigie simu lakin hachoki. Nifanyaje
Uyasahau wapii unajibalaguza tu.
 
Dunia imekumbwa na Anguko kubwa La wanaume kunung'unika sasa hivi imeshakuwa sawa kwa mtoto wa kiume kulalama Mbele za watu tena alalamika si mchezo hata kwa jambo lisilo La maana, hivi Lijari kweli anashindwa kuwa na maamuz juu ya uyo binti mapaka uje usaidiwe mawazo kwa jambo dogo mama hili
 
Ungekuwa umeumizwa usingepokea simu yake, wewe umejeruhiwa tu na anakuchukulia kama boya wake that's why anakugeuza kama chapati. Komaa mtoto wa kiume onyesha uhalisia kwanini unaitwa mwanaume acha kbs kulialia hovyo kama kitoto kinachotaka kunyinya.
 
Nilifunzwa kuwa mwanaume kuonyesha umeumizwa na mapenzi wakt mwengine sio vzr, inabid ujikaze tu hata Kama umeumizwa Ila Kuna huyu Mwanamke ameniumiza acha niseme niliwai kuwa nae ktk mahusiano nilimpenda lakin baadae akafanya ujinga Sana nikaamua kuachana nae..lakin kila siku ananipigia simu halafu anachoongea cha maana hakuna.
Ananikwaza kwa sababu zifuatazo
1. Kwanza nahis kwa sababu anajua nampenda kwa hiyo anafanya makusudi. Kwa sababu anajua kwenye mapambano Yale ye ndo mshindi.
2.Ananikwaza kwa sababu ananikumbusha mambo ambayo nilishayasau.

Nimemwambia asinipigie simu lakin hachoki. Nifanyaje
Badilisha number mkuuu
 
Back
Top Bottom