Aisee wanaume bwana! Kwa hiyo ulitaka vya bure ili umalizie nyumba yako wewe halafu umwache yeye kwenye mataa?? Hivi km huna mpango na mtu kwa nini mnampotezea muda?
Nani huwa anapenda vya bure? Nani alimpotezea mwenzake muda? Kwani wanaume muda haupotei?
Kwa kesi ya huyu kama wanapotezeana muda basi wafanye kushea gharama iwe equal, asa jamaa analalamika anatakiwa kushea kodi, usikute hata msosi hanunui hadi mhusika akakereka. Yani full umarioo, ukila na kipofu mshike mkono, angedanganyia hata na grocery shopping za kizushi pengine ingekuwa story ingine.
Ngoja nikushauri vibaya.Hii dunia ina manyanyaso sana jinyonge mkuu!:thumbdown::thumbdown: