Mjini hapa hakuna vya bure. Hukuvutwa kwenda kwake leo unamchambua kwamba humpendi mala chakula kama kuna msiba, kijana jitambue
Alafu kama unatunga vile hiyo yako nyumba unaijenga na mawe?! Maana unasema ulipumzika kazi.
Jamani mtu wa elfu unaforce kwa malaki lazima upwelepwetwe. Mjini hapa kila nyumba ina namba. Ukijua kupokea jua na kutoa. Hakuna cha bure.
Teh teh duuuh nimejikuta naguna kwa sauti mkuuu... Nina hakika utakuwa unaishi zenji au tanga,, na kama upo dar basi una undugu wa kuchora na isha mashauzi...