Junior. Cux
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 5,319
- 3,767
Wanawake wa kipindi hiki watapata shida sana... watalea watoto na baba zao lol!!!
Mm sikua nimepanga kuanzisha familia, na nilimueleza tangu mwanzo kuwa tukae kila mtu kivyake akalazimisha kwamba anajiweza
kaka zangu bwans duh 32yrs pimbi kiasi hiki??? mimi.nkifika huo umri wako sitokua pimbii hvi jamani
Hahaaa eti Jean mwanaume anayejiita Jean mzima kweli?