Aliniacha mwenyewe, leo kaanza kuniomba turudiane. Kuna haja kweli ya kuwa na mtu wa namna hii?

Perry

JF-Expert Member
Feb 24, 2011
10,044
1,999
Za leo jamani?
Miezi kama miwili iliyopita nilikua kwenye mahusiano na mtu flani ambae kwa upande wangu namuona kama mkatili flani hivi.

Kisa kilianza siku fulani ilikuwa jmosi kuna issue nilikua nafuatilia mitaa ya posta na hiyo issue yeye pia alikua anaifahamu coz nilimshirikisha.

Sasa basi siku ya siku nimeamka alfajiri kuwahi usafiri ili nifike mapema na kiukweli nikiri kuwa huwa nina kawaida ya kumsabahi kila asubuh naye huwa ananisabah kila jioni akitoka kazini..

Sasa siku hiyo nikajisahau kumsabahi na mpaka ilivyofika saa 7 mchana hakuna ambae alikua kamcheck mwenzie but thanx kwenye saa 8 hivi akawa kanitext kunisabah ila kutokana na ubize niliokua nao nikashindwa kumjibu on time ingawa text yake niliiona mapema tu.

Nilivorudi home jion ndio nikaona ni muda muafaka wa kumtafuta lakin kila nikipiga simu hapokei wala hajibu texts zangu.

Basi mi nikaona nisimsumbue nikalala zangu..kesho yake asubuh nikampigia akapokea lakini cha ajabu aliniporimoshea matusi ya nguoni..kilichoniuma zaidi akaniita mi mzinzi na akaniambia kuanzia siku hiyo nisithubutu kuipiga namba yake, mi nikamjibu tu nashukuru na nitatekeleza yote aliyiniambia.

Nikafungua ukurasa mpya wa maisha yangu nikaona hakuna umuhimu wa kuwa na mtu yeyote kwa sasa kama mambo yenyewe ndio haya..

Sasa toka juzi huyu mtu ameanza kunisumbua kutaka kurudiana na mimi. Juzi kanitumia text kuwa anaomba msamaha na tuyasahau ya nyuma na turudiane na eti amegundua mi ndo mtu sahihi kwangu.sijamjibu kitu..anapiga simu me sipokei wala simjibu chochote.

Sasa nimeanza kumuona kero kwangu, je wakuu mtu kama huyu kuna haja ya hata kupoteza vocha zangu kumjibu chochote au nimblock mazima?
 
Achana nae.

Niliwahi kua na mwanamke design hyo kitambo. Just because i loved her soo much nd was there to stay....she mis-used it nd treated me really bad.

One morning i woke up nikajiambia (It's OVER, I'm way better OFF this shit)..

Baadae after 6 months of complete silence....akajirudi nikamkatalia....karudi tena a month later nikamkatalia after two more months karudi tena nikamkatalia nikamwambia (I'm sorry i found a new love, she z nothin i ever want in a woman)

Since then pamoja na uzuri wake after kutemana nae limekua linagongwa na kuachika tu na watu kibao....wengine wana kashfa za ajabu ajabu.

My Take:

Woman stay strong nd move on. God knows ur destiny, Be Patient & Happy in your own path. You got a great life ahead of u.
 
za leo jamani?
miezi kama miwili iliyopita nilikua kwenye mahusiano na mtu flani ambae kwa upande wangu namuona kama mkatili flani hivi.kida kilianza siku flan ilikua jmosi kuna issue nilikua nafuatilia mitaa ya posta,na hiyo issue ye pia alikua anaifahamu cz nilimshirikisha.sasa basi siku ya siku nimeamka alfajiri kuwahi usafiri ili nifike mapema na kiukweli nikili kuwa huwa nina kawaida ya kumsabahi kila asubuh nae huwa ananisabah kila jioni akitoka kazini..asa siku hiyo nikajisahau kumsabah na mpaka ilivyofika saa 7 mchana hakuna ambae alikua kamcheck mwenzie but thanx kwenye saa 8 hivi akawa kanitext kunisabah ila kutokana na ubize niliokua nao nikashindwa kumjibu on time ingawa text yake niliiona mapema tu.nilivorudi home jion ndio nikaona ni muda muafaka wa kumtafuta lkn kila nkipiga cmu hapokei wala hajibu texts zangu.basi me nikaona nisimsumbue nikalala zangu..kesho yake asubuh nikampigia akapokea lkn cha ajabu aliniporimoshea matusi ya nguoni..kilichoniuma zaidi akaniita me mzinzi na akaniambia kuanzia siku hiyo nisithubutu kuipiga namba yake.me nikamjibu tu nashukuru na ntatekeleza yote aliyiniambia.nikafungua ukurasa mpya wa maisha yangu nikaona hakuna umuhimu wa kuwa na mtu yeyote kwa sasa kama mambo yenyewe ndio haya..sasa toka juzi huyu mtu ameanza kunisumbua kutaka kurudiana na mimi.juzi kanitumia text kuwa anaomba msamaha na tuyasahau ya nyuma na turudiane na eti amegundua me ndo mtu sahihi kwangu.sijamjibu kitu..anapiga simu me sipokei wala simjibu chochote.sasa nimeanza kumuona kero kwangu.je wakuu mtu huyu kuna haja ya hata kupoteza vocha zangu kumjibu chochote au nimblock mazima?
wakati mwingine lazma upime upepeo kama unapendwa,,ila ww inaonyesha hukumpenda maana mimi niliumwa karibu mwezi sina hamu ya chakula kisa kuzinguana na mpenzi wangu,,,mapenzi ya kweli lazma wivu,,,na mtu akishakiri makosa msamehe kama hujamreplace,,ila ww nawasiwasi na ww.........
 
w
Achana nae.

Niliwahi kua na mwanamke design hyo kitambo. Just because i loved her soo much nd was there to stay....she mis-used it nd treated me really bad.

One morning i woke up nikajiambia (It's OVER, I'm way better off this shit)..

Baadae after 6 months of complete silence....akajirudi nikamkatalia....karudi tena a month later nikamkatalia after two more months karudi tena nikamkatalia nikamwambia (I'm sorry i found a new love, she z nothin i ever want in a woman)

Since then pamoja na uzuri wake after kutemana nae limekua linagongwa na kuachika tu na watu kibao....wengine wana kashfa za ajabu ajabu.

My Take:

Woman stay strong nd move on. God knows ur destiny, Be Patient & Happy in your own path. You got a great life ahead of u.
usitukane
 
vip hakuna mabadiliko ya kipato ?
Itakua nguzo aliyokua anaitegemea ilikua ya mabua ndio maana amerudi

amerudi-malaika band
 
inavyoonekana huyo ex wako anawivu kupitiliza Na hii yote kutokana na upendo aliokuanao kwako ila wee angalia moyo wako bado unamapenzi nae au laa!

ila Kama humtaki tena usimuumize mwenzio Ni kumwambia Tu ukweli am sorry minds your own business.
 
Mkuu huku akili za kuambiwa changanya na zako wapo watakao kuambia achana nae na watakao kuambia samehe wee balance uangalie na ulinganisha na maamuzi yako ya moyo
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom