baiser
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 1,456
- 2,179
Ndugu wana JF nilikuwa na mchumba wangu tumedumu kwa zaidi ya miaka sita na tulibahatika kupata mtoto 1 mwenye umri wa miaka mitano, sasa huyu mwenzangu mwaka mmoja uliopita baada ya kumaliza degree yake katika chuo kimoja hapa bongo alihitaji ndoa ya haraka.
Mimi nikamwambia asubiri kidogo sababu sijajipanga na maisha, pesa nilizokuwa nazo nilikuwa namsaidia yeye sehemu ya ada na piá nimepata jukumu lingine la kumwinua mdogo wangu kimasomo hivyo anivumilie kidogo, basi alikubalia baada ya mwezi mmoja akaanza figisu pamoja na kunikatisha tamaa na kuamua kusema kila mtu aishi kivyake basi nilikubaliana na hali.
Sasa ni karibia mwaka ila sasa hivi ameanza kunisumbua na kunitaka nirudi tutunze mtoto na kujenga familia kwa pamoja. Je nirudi kwake tena? Na sasa hivi ninae mchumba mwingine ambae nilimweleza kila kitu na akakubali uhusiano nami na ananijali namjali. Jê nimwache huyu nirudu kule?
Kiukwel nipo njiapanda na pia yule ameniomba sana msamaha kuwa alipitiwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nikamwambia asubiri kidogo sababu sijajipanga na maisha, pesa nilizokuwa nazo nilikuwa namsaidia yeye sehemu ya ada na piá nimepata jukumu lingine la kumwinua mdogo wangu kimasomo hivyo anivumilie kidogo, basi alikubalia baada ya mwezi mmoja akaanza figisu pamoja na kunikatisha tamaa na kuamua kusema kila mtu aishi kivyake basi nilikubaliana na hali.
Sasa ni karibia mwaka ila sasa hivi ameanza kunisumbua na kunitaka nirudi tutunze mtoto na kujenga familia kwa pamoja. Je nirudi kwake tena? Na sasa hivi ninae mchumba mwingine ambae nilimweleza kila kitu na akakubali uhusiano nami na ananijali namjali. Jê nimwache huyu nirudu kule?
Kiukwel nipo njiapanda na pia yule ameniomba sana msamaha kuwa alipitiwa.
Sent using Jamii Forums mobile app