Alimegewa......hakufurahishwa...........sasa ataka kujinasua............

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,470
911,173
Yaani ipo njemba moja ambayo ilimganda binti wa watu hadi akamegewa...........baada ya kuonjeshwa asali jamaa sasa adai hakufurahika na aona bora ajinasue..........wakati mwenzie afikiri sasa kapata kivuno............cha milele...........

Ni kizaazaa cha aina yake.................tatizo jamaa hafafanui ni kwa vipi hakufurahika na mechi ile ya nadra sana na huku akizingatia aliitafuta kwa zaidi ya miaka mitatu.......iliyopita...............
 
Sio Rev Masanilo kweli huyo? alikuja wiki jana na thread yenye maudhui kama hayo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom