Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,587
- 215,181
Mimi na huyu dada tulisoma wote primary, baada ya hapo secondary kila mtu akatimkia kivyake, tulikutana chuoni tukiwa in early 20's. Yeye alikuwa na bwana lakini sikuwahi kumfahamu, ilitokea siku moja nilikwenda kukata ticket nisafiri, yule kijana kumbe aliniona akamuomba mkata ticket kwa gharama yeyote nipe kiti pembeni ya yule dada, sikujua muuza ticket alifika dau au la, lakini nilikaa kiti kimoja na yule kaka. Wakati ule barabara zilikuwa mbovu sana, ile safari ilichukua massa 8. Tulifika usiku, wakati ule hakukuwa na mobile phones, so yule kaka alichukua taxi akahakikisha inanifikisha mimi kwanza ndiyo yeye aendelee na safari.
Kwa kifupi muda wote ule nilishamwambia ninasoma chuo gani ninafanya nin. Basi kaka akaanza trip za kuja chuoni na vijizawadi. Yule dada akagundua lo, urafiki ulikwisha, inilijaribu kumueleza kuwa sikufahamu uhusiano wao. Yule jamaa alinionyesha barua aliyoiandika yule dada kwake, 'unaniacha mimi cheupe dawa kwaajili ya yule gorilla', any way, ninajua hakutakiwa kunionyesha ile barua.
Miaka mingi imepita sasa, nimekutana na kaka yake ambae wakati tuko primary yeyey alikuwa mbele yetu sana, tumeanza ku date, na inaonyesha is heading to a serious relationship, kaka amenifahamisha dada yake amekuja kumsalimia niende, nimefika dada ananibenulia midomo, jamaa amenotice hiyo, alichoniambia amesema I've to make an effort to talk to his sister because I mean so much to him. Ninaomba ushauri.
Kwa kifupi muda wote ule nilishamwambia ninasoma chuo gani ninafanya nin. Basi kaka akaanza trip za kuja chuoni na vijizawadi. Yule dada akagundua lo, urafiki ulikwisha, inilijaribu kumueleza kuwa sikufahamu uhusiano wao. Yule jamaa alinionyesha barua aliyoiandika yule dada kwake, 'unaniacha mimi cheupe dawa kwaajili ya yule gorilla', any way, ninajua hakutakiwa kunionyesha ile barua.
Miaka mingi imepita sasa, nimekutana na kaka yake ambae wakati tuko primary yeyey alikuwa mbele yetu sana, tumeanza ku date, na inaonyesha is heading to a serious relationship, kaka amenifahamisha dada yake amekuja kumsalimia niende, nimefika dada ananibenulia midomo, jamaa amenotice hiyo, alichoniambia amesema I've to make an effort to talk to his sister because I mean so much to him. Ninaomba ushauri.