Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,946
HAHAHAAAAAAAAAAAAAAA!!!!!!!!!!!! @ Gorilla! Mambo ya G U NOT!!!!!!!! You made my evening CHEUPE V GORILLA!!!!!!!!!
Back to topic!
Usijipe stress wewe! Wifi bongoooo!!!!!!!!!!! Wifi ilikua zamani sio sasa! Kama ana uchungu sanaa aolewe yeye basi na huyo kaka yake!
Wewe hapo ndo umeshika hatamu na bank account zote ukijitahidi kwenye uwanja wa fundi seremala, There is nothing between you and the wife title! JST IGNORE HER!!!!!!! Toka lini tembo akawaza barabarani kuna visisimizi? Ukimuignore ata learn to accept the reality kuwa wewe ndo maza house originale!!!!!!!!
Mwenyewe viwifi uchumba hivi huwaga navinyali nyali, sio kwa kuwa navionea wivu au kijiba ila navihurumia kujikukurusha na kujikomba komba wakati yeye wifi wa 20 labda mimi kutambulishwa! Sasa inakuwa i spare myself the sentiments!!!!!!!!!
Lara 1, do you drink what you preach (meaning; do you practice all these theories you post here)?