Uchaguzi 2020 Alikuwa akisoma comments za Twitter akajua kwamba ameshakuwa Rais, amechanganyikiwa

Kwa hiyo tundu lissu alienda kutafuta vituo vya afya pia nakagua miradi
 
Tundu Lissu alijua kuwa atashinda Urais alimchukulia poa Rais Magufuli, alipokuwa akisoma comments za twitter akaona tayari ameshashinda.

Hali halisi ameiona mitaani, alikuwa ameisahau CCM kuwa ndio chama tajiri kilicho kitaasisi.

Ametembea kukusanya wadhamini kila pahala amekutana na maajabu ya uujenzi wa miundombinu kila nchi anaona miradi ya maji iko kila pahala pumzi imekata.

Ndio maana hotuba yake ya hai ilikuwa ya matusi mpaka shetani alikaa pembeni kumshangaa.

Kwa sasa amekata tamaaa kabisa ameona bora angebakia zake Ubeligiji afanye vibarua vya kusafisha vyoo vya wazungu.
Bila wizi wa kura ccm wanaangukia pua saa 2 asubuhi
 
Mliaminishwa kua upinza umekufa mkaenda kulala usingizi wa pono mmekurupuka huku mmekuta Mambo ni tofauti mmechanganyikiwa hata hamjui muanzie wapi tena maskini..Jana mkakusanya wasanii nchi nzima mkijua mtapata Kiki katokea jamaa wa clous kamlamba mtu mtama kabeba point zote
 
Tundu Lissu alijua kuwa atashinda Urais alimchukulia poa Rais Magufuli, alipokuwa akisoma comments za twitter akaona tayari ameshashinda.

Hali halisi ameiona mitaani, alikuwa ameisahau CCM kuwa ndio chama tajiri kilicho kitaasisi.

Ametembea kukusanya wadhamini kila pahala amekutana na maajabu ya uujenzi wa miundombinu kila nchi anaona miradi ya maji iko kila pahala pumzi imekata.

Ndio maana hotuba yake ya hai ilikuwa ya matusi mpaka shetani alikaa pembeni kumshangaa.

Kwa sasa amekata tamaaa kabisa ameona bora angebakia zake Ubeligiji afanye vibarua vya kusafisha vyoo vya wazungu.
Wasiojitambua wengi endeleeni kupata kiwewe Mafisi maji nyie
 
Uzuri anatembea kwa barabara nafsi itamsuta. Atashangaa umeme kila kijiji, barabara nzuri na zinazopitika yakiwemo madaraja, watu wanafanya biashara kila kona bila bughudha, mataa ya barabarani kila mkoa, atakutana na hospital na vituo vya afya zikiwemo mahakama za kisasa kila mahali. Na ukichukulia muda mwingi aliutumia hospital nje ya nchi kwa hiyo alikuwa hajajua kwa upana yanayofanyika tz.

Ukitaka kujua maajabu ya magufuli upate nafasi ya kutembea tanzania tena kwa barabara kama anavyofanya lissu, lazima uwe mpole.

Kwa sasa hatasikia watu wakimlilia kuhusu umeme, maji, afya, migogoro ya ardhi wala ubovu wa barabara.
Crap!
 
Tundu Lissu alijua kuwa atashinda Urais alimchukulia poa Rais Magufuli, alipokuwa akisoma comments za twitter akaona tayari ameshashinda.

Hali halisi ameiona mitaani, alikuwa ameisahau CCM kuwa ndio chama tajiri kilicho kitaasisi.

Ametembea kukusanya wadhamini kila pahala amekutana na maajabu ya uujenzi wa miundombinu kila nchi anaona miradi ya maji iko kila pahala pumzi imekata.

Ndio maana hotuba yake ya hai ilikuwa ya matusi mpaka shetani alikaa pembeni kumshangaa.

Kwa sasa amekata tamaaa kabisa ameona bora angebakia zake Ubeligiji afanye vibarua vya kusafisha vyoo vya wazungu.
Chadema bado hawajafikia viwango vya kupewa dola.
 
Nduli Idd Amin alijenga miundombinu na mambo kede kede huko Uganda, lakini udikteta wake na kupoteza watu wasio na hatia vimemuacha bila legacy yeyote leo hii.
 
Uzuri anatembea kwa barabara nafsi itamsuta. Atashangaa umeme kila kijiji, barabara nzuri na zinazopitika yakiwemo madaraja, watu wanafanya biashara kila kona bila bughudha, mataa ya barabarani kila mkoa, atakutana na hospital na vituo vya afya zikiwemo mahakama za kisasa kila mahali. Na ukichukulia muda mwingi aliutumia hospital nje ya nchi kwa hiyo alikuwa hajajua kwa upana yanayofanyika tz.

Ukitaka kujua maajabu ya magufuli upate nafasi ya kutembea tanzania tena kwa barabara kama anavyofanya lissu, lazima uwe mpole.

Kwa sasa hatasikia watu wakimlilia kuhusu umeme, maji, afya, migogoro ya ardhi wala ubovu wa barabara.
US kuna barabara hadi 'chooni' lakini suala la kuwa Rais ni terms mbili wanakula kichwa. Wewe unakuja na pumba hizi za maji, rami, madaraja tangu 1961 kuwa ndiyo mtu asipate upinzani bali asifiwe tu!
Hivi kwani kodi na mikopo ambayo tunalipa wote huwa ni ya nini kama siyo kufanya masuala ya kuhudumia wananchi?! Mnageuza wajibu wa Serikali kuwa kama hiyari na hisani!
 
US kuna barabara hadi 'chooni' lakini suala la kuwa Rais ni terms mbili wanakula kichwa. Wewe unakuja na pumba hizi za maji, rami, madaraja tangu 1961 kuwa ndiyo mtu asipate upinzani bali asifiwe tu!
Hivi kwani kodi na mikopo ambayo tunalipa wote huwa ni ya nini kama siyo kufanya masuala ya kuhudumia wananchi?! Mnageuza wajibu wa Serikali kuwa kama hiyari na hisani!
Kafuatilie kwanza matumizi ya ruzuku chadema ndio uje
 
Kafuatilie kwanza matumizi ya ruzuku chadema ndio uje
Na hizi ndiyo HOJA zenu za kujifichia. Matumizi ni sahihi kwa mujibu wa CAG na hati safi zinatoka kabla hajawaumbua kuhusu 1.5 trilioni.

Tangu 1961 leo 2020 mnaona ni maajabu ya Dunia nchi kuwa na barabara, madaraja, shule! Changamoto kubwa ni QUALITY siyo QUANTITY, tunafahamu haya yote. Mnashangaa utafikiri UHURU tumepata jana! Utafikiri tangu uhuru tunatawaliwa na vyama tofauti tofauti na siyo CCM!
 
Nchi hii inaliwa na wajanja wachache sana kwa kutumia ujinga, umasikini na ulimbukeni wa vijana wapuuzi kama wa namna yako. Elfu saba unayolipwa kufanyia propaganda hizi inakusahaulisha kupigania haki zako na za kizazi chako cha baadae za kufurahia keki ya Taifa, unadhani kwa upuuzi huu unaweza kufikia maisha ya anasa anayoishi Bashite kupitia kodi yako?
 
Hivi Nyalandu yupo jamani mchizi wangu yule sometime namuoneaga huruma.Lakini hata hivo huruma yangu haimsaidii lolote.
 
Tundu Lissu alijua kuwa atashinda Urais alimchukulia poa Rais Magufuli, alipokuwa akisoma comments za twitter akaona tayari ameshashinda.

Hali halisi ameiona mitaani, alikuwa ameisahau CCM kuwa ndio chama tajiri kilicho kitaasisi.

Ametembea kukusanya wadhamini kila pahala amekutana na maajabu ya uujenzi wa miundombinu kila nchi anaona miradi ya maji iko kila pahala pumzi imekata.

Ndio maana hotuba yake ya hai ilikuwa ya matusi mpaka shetani alikaa pembeni kumshangaa.

Kwa sasa amekata tamaaa kabisa ameona bora angebakia zake Ubeligiji afanye vibarua vya kusafisha vyoo vya wazungu.
Mbona huku kwetu maji hayapo kama kila eneo kumejaaa maji?
 
Back
Top Bottom