Bila wizi wa kura ccm wanaangukia pua saa 2 asubuhiTundu Lissu alijua kuwa atashinda Urais alimchukulia poa Rais Magufuli, alipokuwa akisoma comments za twitter akaona tayari ameshashinda.
Hali halisi ameiona mitaani, alikuwa ameisahau CCM kuwa ndio chama tajiri kilicho kitaasisi.
Ametembea kukusanya wadhamini kila pahala amekutana na maajabu ya uujenzi wa miundombinu kila nchi anaona miradi ya maji iko kila pahala pumzi imekata.
Ndio maana hotuba yake ya hai ilikuwa ya matusi mpaka shetani alikaa pembeni kumshangaa.
Kwa sasa amekata tamaaa kabisa ameona bora angebakia zake Ubeligiji afanye vibarua vya kusafisha vyoo vya wazungu.
Hiyo ni barabara na inapitika. Kwani kuna nchi isiyo na barabara ya vumbi?
Mliaminishwa kua upinza umekufa mkaenda kulala usingizi wa pono mmekurupuka huku mmekuta Mambo ni tofauti mmechanganyikiwa hata hamjui muanzie wapi tena maskini..Jana mkakusanya wasanii nchi nzima mkijua mtapata Kiki katokea jamaa wa clous kamlamba mtu mtama kabeba point zote
Wasiojitambua wengi endeleeni kupata kiwewe Mafisi maji nyieTundu Lissu alijua kuwa atashinda Urais alimchukulia poa Rais Magufuli, alipokuwa akisoma comments za twitter akaona tayari ameshashinda.
Hali halisi ameiona mitaani, alikuwa ameisahau CCM kuwa ndio chama tajiri kilicho kitaasisi.
Ametembea kukusanya wadhamini kila pahala amekutana na maajabu ya uujenzi wa miundombinu kila nchi anaona miradi ya maji iko kila pahala pumzi imekata.
Ndio maana hotuba yake ya hai ilikuwa ya matusi mpaka shetani alikaa pembeni kumshangaa.
Kwa sasa amekata tamaaa kabisa ameona bora angebakia zake Ubeligiji afanye vibarua vya kusafisha vyoo vya wazungu.
Crap!Uzuri anatembea kwa barabara nafsi itamsuta. Atashangaa umeme kila kijiji, barabara nzuri na zinazopitika yakiwemo madaraja, watu wanafanya biashara kila kona bila bughudha, mataa ya barabarani kila mkoa, atakutana na hospital na vituo vya afya zikiwemo mahakama za kisasa kila mahali. Na ukichukulia muda mwingi aliutumia hospital nje ya nchi kwa hiyo alikuwa hajajua kwa upana yanayofanyika tz.
Ukitaka kujua maajabu ya magufuli upate nafasi ya kutembea tanzania tena kwa barabara kama anavyofanya lissu, lazima uwe mpole.
Kwa sasa hatasikia watu wakimlilia kuhusu umeme, maji, afya, migogoro ya ardhi wala ubovu wa barabara.
Chadema bado hawajafikia viwango vya kupewa dola.Tundu Lissu alijua kuwa atashinda Urais alimchukulia poa Rais Magufuli, alipokuwa akisoma comments za twitter akaona tayari ameshashinda.
Hali halisi ameiona mitaani, alikuwa ameisahau CCM kuwa ndio chama tajiri kilicho kitaasisi.
Ametembea kukusanya wadhamini kila pahala amekutana na maajabu ya uujenzi wa miundombinu kila nchi anaona miradi ya maji iko kila pahala pumzi imekata.
Ndio maana hotuba yake ya hai ilikuwa ya matusi mpaka shetani alikaa pembeni kumshangaa.
Kwa sasa amekata tamaaa kabisa ameona bora angebakia zake Ubeligiji afanye vibarua vya kusafisha vyoo vya wazungu.
Jutaga baada ya kupewa huduma na mabeberuHahahaaa hivi hili neno "mataga" maana take nini?
US kuna barabara hadi 'chooni' lakini suala la kuwa Rais ni terms mbili wanakula kichwa. Wewe unakuja na pumba hizi za maji, rami, madaraja tangu 1961 kuwa ndiyo mtu asipate upinzani bali asifiwe tu!Uzuri anatembea kwa barabara nafsi itamsuta. Atashangaa umeme kila kijiji, barabara nzuri na zinazopitika yakiwemo madaraja, watu wanafanya biashara kila kona bila bughudha, mataa ya barabarani kila mkoa, atakutana na hospital na vituo vya afya zikiwemo mahakama za kisasa kila mahali. Na ukichukulia muda mwingi aliutumia hospital nje ya nchi kwa hiyo alikuwa hajajua kwa upana yanayofanyika tz.
Ukitaka kujua maajabu ya magufuli upate nafasi ya kutembea tanzania tena kwa barabara kama anavyofanya lissu, lazima uwe mpole.
Kwa sasa hatasikia watu wakimlilia kuhusu umeme, maji, afya, migogoro ya ardhi wala ubovu wa barabara.
Kafuatilie kwanza matumizi ya ruzuku chadema ndio ujeUS kuna barabara hadi 'chooni' lakini suala la kuwa Rais ni terms mbili wanakula kichwa. Wewe unakuja na pumba hizi za maji, rami, madaraja tangu 1961 kuwa ndiyo mtu asipate upinzani bali asifiwe tu!
Hivi kwani kodi na mikopo ambayo tunalipa wote huwa ni ya nini kama siyo kufanya masuala ya kuhudumia wananchi?! Mnageuza wajibu wa Serikali kuwa kama hiyari na hisani!
Na hizi ndiyo HOJA zenu za kujifichia. Matumizi ni sahihi kwa mujibu wa CAG na hati safi zinatoka kabla hajawaumbua kuhusu 1.5 trilioni.Kafuatilie kwanza matumizi ya ruzuku chadema ndio uje
Hayo magiwio yamemnufaisha vipi mwananchi wa wa kawaida wa mlele
Mbona huku kwetu maji hayapo kama kila eneo kumejaaa maji?Tundu Lissu alijua kuwa atashinda Urais alimchukulia poa Rais Magufuli, alipokuwa akisoma comments za twitter akaona tayari ameshashinda.
Hali halisi ameiona mitaani, alikuwa ameisahau CCM kuwa ndio chama tajiri kilicho kitaasisi.
Ametembea kukusanya wadhamini kila pahala amekutana na maajabu ya uujenzi wa miundombinu kila nchi anaona miradi ya maji iko kila pahala pumzi imekata.
Ndio maana hotuba yake ya hai ilikuwa ya matusi mpaka shetani alikaa pembeni kumshangaa.
Kwa sasa amekata tamaaa kabisa ameona bora angebakia zake Ubeligiji afanye vibarua vya kusafisha vyoo vya wazungu.