Alikuja kwangu, akataka tufanye mapenzi, sikuwa tayari alikasirika sana

Lanlady

JF-Expert Member
Feb 27, 2019
1,399
4,696
Wanaume ni viumbe wa ajabu sana. Baadhi yao wakishahitaji kuwa na mtu, watatumia kila mbinu ili ampate. Tatizo linakuja pale huyo asipokubaliana na suala lake.

Wengi huchukia na hadi kutengeneza uadui. Hivi, niwaulize wanaume kwanza...hamuwezi kujenga urafiki na mtu bila mapenzi? Kwanini wengi wako hivyo?

Yaani.
 
Wanaume ni viumbe wa ajabu sana. Baadhi yao wakishahitaji kuwa na mtu, watatumia kila mbinu ili ampate. Tatizo linakuja pale huyo asipokubaliana na suala lake...
Yani mtu wa namna hyo usimchekee kabisa kabisa.

Mimi hii ishawai nitokea, nilimtoa nduki na mvua ilikua ikinyesha hadi kufika kweny kigari chake nahisi alikua kaloa hadi mbupu.
 
Wanaume ni viumbe wa ajabu sana. Baadhi yao wakishahitaji kuwa na mtu, watatumia kila mbinu ili ampate. Tatizo linakuja pale huyo asipokubaliana na suala lake...
Aaaagh kuna episode umeruka. Tuelezee mlijuanaje. Hii unaweza kuiruka.

Twende sasa pale umemkubalia aje nyumbani kwako, kumuomba mpaka kumnyima na kuondoka kwa hasira.

Vyake hujala?
 

Similar Discussions

20 Reactions
Reply
Back
Top Bottom