Alikiba v/s diamond

chief72

JF-Expert Member
Oct 6, 2011
625
302
pamoja na Diamond kuwa ana ng'aa sana kwa sasa katika tasnia ya bongoflaver na kuvaa umaarufu mkubwa hasa africa ya mashariki, lakini kwa mtazamo wangu ALIKIBA ni mwanamuziki bora kuliko hata diamond, huu ni mtazamo wangu sijui wadau mnaonaje?natia shaka kama diamond anaweza kuendelea kung'ara baada ya miaka miwili kuanzia sasa
 
pamoja na Diamond kuwa ana ng'aa sana kwa sasa katika tasnia ya bongoflaver na kuvaa umaarufu mkubwa hasa africa ya mashariki, lakini kwa mtazamo wangu ALIKIBA ni mwanamuziki bora kuliko hata diamond, huu ni mtazamo wangu sijui wadau mnaonaje?natia shaka kama diamond anaweza kuendelea kung'ara baada ya miaka miwili kuanzia sasa
Kwa hiyo unataka wana jf tufanyeje. Hii habari wapelekee hao wahusika wenyewe.
 
Mkuu mtazamo wako unaweza kuwa kweli lakini sidhani kuimba pekee ndio uanamuziki,hawa wote kazi yao kuimba tu na sioni kama kuna mmoja wao ambaye anaweza hata kupiga moja ya vyombo vya muziki.
 
Kwa hiyo unataka wana jf tufanyeje. Hii habari wapelekee hao wahusika wenyewe.

Acha ujuha wewe kama ingewekwa MMU au SIASA sawa; na kwa kujua unafanya ujuha ukajidai eti "wana jf" ili upate imaginary confidence!!!!!!!

Wewe na nani hamna la kufanya juu ya hili???!!!!
Acha mada ijitafutie njia kama wewe huna la kufanya!!!!!!!
 
Mkuu mtazamo wako unaweza kuwa kweli lakini sidhani kuimba pekee ndio uanamuziki,hawa wote kazi yao kuimba tu na sioni kama kuna mmoja wao ambaye anaweza hata kupiga moja ya vyombo vya muziki.


Una point lakini BSS au TUSKER PROJECT FAME huwa wanatafutwa wanamuziki au vipaji vya kuimba????!!!!!!

Kuna tofauti kati ya mwanamuziki, muimbaji,mpiga vyombo na wengineo????!!!!!
 
Hii peleka kule Kigoma All Stars maana hao
wote wako kwenye lile kundi hasa kwenye
ule wimbo wa Lekatutigite
 
Mmmmmhh duuu kuna wengi wanajua kuimba sema hawang'ari ng'aring'arii kama pasha,,Ally nipishe duu
 
Alikiba atakuwa na manager mbovu na pia hana skendo. Kati ya vitu vinavyomfanya mwanamuziki aongelewe kila siku ni scandals, ndio maana wakififia kidogo tu unasikia kitu kuhusu yeye ambacho anakitengeneza makusudi aendelee kuwa midomoni mwa watu. Kiukweli Ally K is the all time superstar na ana kipaji bab kubwa.
 
Una point lakini BSS au TUSKER PROJECT FAME huwa wanatafutwa wanamuziki au vipaji vya kuimba????!!!!!!

Kuna tofauti kati ya mwanamuziki, muimbaji,mpiga vyombo na wengineo????!!!!!
Tumezoea kuwaita wanamuziki wakati hata muziki wenyewe hawaujui zaidi ya kuimba tu,BSS na TUSKER PROJECT FAME ni vichaka vya kutafuta pesa tu
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom