Alikiba: Nilinusurika kubakwa Marekani!

babu M

JF-Expert Member
Mar 4, 2010
5,221
3,166
Alikiba akiwa kwenye kipindi cha mahojiano cha Salama Jabir. Amefunguka kwamba alinusurika kubakwa nchi Marekani.

Jambo hili lilitokea after party show iliyofanyika kwenye chumba kimoja cha baadhi ya vyumba alivyokuwa amekodi kwenye hotel.

Alijisikia kuchoka na kuhamua kwenda kujipumzisha chumba chake alichokodi. Lakini baadae alitushwa na wadada watatu walioingia chumbani kwake.

Wazungu wanamsemo, “Every coin has two sides”!
 
FE83D719-C9F7-4944-808D-ED62FABF0EBD.png
 
Alikiba akiwa kwenye kipindi cha mahojiano cha Salama Jabir. Amefunguka kwamba alinusurika kubakwa nchi Marekani.

Jambo hili lilitokea after party show iliyofanyika kwenye chumba kimoja cha baadhi ya vyumba alivyokuwa amekodi kwenye hotel.

Alijisikia kuchoka na kuhamua kwenda kujipumzisha chumba chake alichokodi. Lakini baadae alitushwa na wadada watatu walioingia chumbani kwake.

Wazungu wanamsemo, “Every coin has two sides”!
Amemjibu Mange!!! Shamefull
 
Alikiba akiwa kwenye kipindi cha mahojiano cha Salama Jabir. Amefunguka kwamba alinusurika kubakwa nchi Marekani.

Jambo hili lilitokea after party show iliyofanyika kwenye chumba kimoja cha baadhi ya vyumba alivyokuwa amekodi kwenye hotel.

Alijisikia kuchoka na kuhamua kwenda kujipumzisha chumba chake alichokodi. Lakini baadae alitushwa na wadada watatu walioingia chumbani kwake.

Wazungu wanamsemo, “Every coin has two sides”!
Nyiee au ni Mange alitaka mbaka 😹
 

Similar Discussions

4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom