comment yako imekaa kishambenga sanaChuki binafsi babu..... Ww umefanya nini kikubwa!
umekosoa au umekatisha tamaa?Na ifike mahali tuwakosoe pale wanapokosea
We jamaa bwege kweli tena nakuita bwege kabisa.Alikiba katafuta vijana wake sijui kawaokota wapi huko, vijana wanabana pua hatari kuimba kwenyewe hawajui, Ngoma zote walizotoa ni mbovu
Vijana wote wana sauti za kuimba Kaswida na sio Bongofleva, Alikiba ni heri uache tu mziki kama huuwezi.
unatufundisha kua wanafikiIfikie mahali tujifunze kusupport vijana wenzetu kwenye juhud zao sio kuwakatisha tamaa
Ndo vzr wengine tunapendaVijana Wanabana sauti balaa...