Mkogoti
TAPELI Mkubwa
- May 3, 2020
- 2,416
- 3,911
😔🚶Poleeeeeeeeeeeh Sana, kuwa mtazamaji tyuuuh sio lazima kila kityuuh ujue.
😔🚶Poleeeeeeeeeeeh Sana, kuwa mtazamaji tyuuuh sio lazima kila kityuuh ujue.
Mmeanza uchuro.Ila clouds wanawatenganisha kwenye show
samahi kidogo sio Nigeria ni msouthAnavaa kama Naeto C wa Nigeria
Una tatizo gani mkuu? Clouds wanaonyesha hii kitu laivu jana na leo ila diamond na team yake akiperform wanakata matangazo, ndio nilichomaanisha, sasa wewe una tatizo gani hapo? Ushaanza uchuro wako na hukuMmeanza uchuro.
Unaishi nchi gani mpaka ufahamu kuwa wcb wasafi kupitia mwanasheria wao wamepeleka barua clouds media kukataza wasirushe chochote kinachowahusu wao...Una tatizo gani mkuu? Clouds wanaonyesha hii kitu laivu jana na leo ila diamond na team yake akiperform wanakata matangazo, ndio nilichomaanisha, sasa wewe una tatizo gani hapo? Ushaanza uchuro wako na huku
Mkuu kama wanakata matangazo akipanda bwana almas na tim yake bax usiangalie clouds angalia hata chanel 10 chanel 5 star tv wasaf tv azam tv itv tbc x wote wanaonyesha kwan lazma uangalie clouds mkuuUna tatizo gani mkuu? Clouds wanaonyesha hii kitu laivu jana na leo ila diamond na team yake akiperform wanakata matangazo, ndio nilichomaanisha, sasa wewe una tatizo gani hapo? Ushaanza uchuro wako na huku
Unaishi nchi gani mpaka ufahamu kuwa wcb wasafi kupitia mwanasheria wao wamepeleka barua clouds media kukataza wasirushe chochote kinachowahusu wao...
Ila bwana yooooo some time sijui anakwamaga wap kwenye kuvaa daaaah
Siku zote watoto wa uswaz ujaga kujua code za mavazi na kuoga ukubwani hasa wakiwa na uwezo ila watoto wa city center ile town kabisa wakishua mavazi kwao sio big deal jaribu kuchunguza walio wengiIla bwana yooooo some time sijui anakwamaga wap kwenye kuvaa daaaah
Mzee matangazo ya kibishara ni mali ya kampuni husika iloyomtumia msanii huyo.Mhhh chochote kinacho wahusu wao??? Asa mbona matangazo ya peps na parmatch yanarushewa???
Tangazo la Pepsi ni Mali ya WCB kumbe?Mhhh chochote kinacho wahusu wao??? Asa mbona matangazo ya peps na parmatch yanarushewa???
Uwez kumzuia mtu kufkir vile anavyo fkir izo n fkra zako mkuu azibadilishi chochoteWewe ndio mshamba sasa
Ila utakataa
Tangazo la Pepsi ni Mali ya WCB kumbe?
Siku zote watoto wa uswaz ujaga kujua code za mavazi na kuoga ukubwani hasa wakiwa na uwezo ila watoto wa city center ile town kabisa wakishua mavazi kwao sio big deal jaribu kuchunguza walio wengi
Clouds Fm na Tv niliacha kufuatalia sikumbuki hata liniUna tatizo gani mkuu? Clouds wanaonyesha hii kitu laivu jana na leo ila diamond na team yake akiperform wanakata matangazo, ndio nilichomaanisha, sasa wewe una tatizo gani hapo? Ushaanza uchuro wako na huku