abdulhamis
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 1,436
- 2,292
Jana Baada ya Diamond kupata views m1 ndan ya masaa kumi na 3 alifanya part nyumban kwake kwenye parking yake ya Magar na kusherekea rikod yake mpya ya kupata views weng ndan ya mda mchache kitu ambacho Zaman ilikua kila msanii anataka views wengi ndan ya mwezi mmoja ikaja wiki ikaja siku now imekuja masaa
Ila hata ivyo Diamond hakuweza kudum kushikilia rikod ya mtanzania wa kwanza kupata view wengi ndan ya mda Mchache baada ya Alikiba kupata view m1 ndan ya masaa 12 uku Diamond akimshinda Kiba kwa lisaa kimoja sababu Diamond alipata view m1 baada ya masaa 13
Tuendelee kufatilia mtifuano huu unao endelea japo kwa Sasa Anae ishikilia rikod ya kupata view wengi ndani ya muda mchache zaid ni Alikiba
Ila hata ivyo Diamond hakuweza kudum kushikilia rikod ya mtanzania wa kwanza kupata view wengi ndan ya mda Mchache baada ya Alikiba kupata view m1 ndan ya masaa 12 uku Diamond akimshinda Kiba kwa lisaa kimoja sababu Diamond alipata view m1 baada ya masaa 13
Tuendelee kufatilia mtifuano huu unao endelea japo kwa Sasa Anae ishikilia rikod ya kupata view wengi ndani ya muda mchache zaid ni Alikiba