brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,876
- 7,366
Hatamae Alikiba ametoa tamko rasmi kuwataka mashabiki wake kuacha kumtukana Wizkid kwenye mitandao , hii imetokana na alikiba kupewa tuzo ya mtv ema aliyokuwa amepewa mwanzo wizkid
Mashabiki hao walivamia ukurasa wa Wizkid na kuporumosha matusi mazito.
Alikiba amesema Wizkid ni msanii alefanikiwa zaidi mwaka huu na yeye ni mmoja wa mashabiki zake
Mashabiki hao walivamia ukurasa wa Wizkid na kuporumosha matusi mazito.
Alikiba amesema Wizkid ni msanii alefanikiwa zaidi mwaka huu na yeye ni mmoja wa mashabiki zake