playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,647
- 1,565
Kamkuta king kwa industry na nahis alikuwa role model wake japo kwa sasa hawez ku admit...nadhan KIBA NI G O A T.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kamkuta king kwa industry na nahis alikuwa role model wake japo kwa sasa hawez ku admit...nadhan KIBA NI G O A T.
Hiyo ya WORLD ndo tunapopishana mzee kama hivyo manake bongo hakuna G O A T siyo kweli.Mtu hata africa bado haja cross...... vile inavyo stahiki.... unaanzaje kukubali kuwa ni GOAT..kwa mimi GOAT ni yule mtu ambaye amewahi kufanya mambo makubwa extra and different kabisa na wenzake katika comby yao.....kisha akafanikiwa kujulikana na kuwa much influence in the whole world....... isiwe mtu anajulikana tu tz kenya sudan na hapo bujumbura then aanze kujiita GOAT...dunia itakuwa na GOAT wengi wakipuuzi......... itifaki izingatiwe...
Siku nyingine unaanza na tahdhar kaka kwamba jamani eeh kuna picha ya kishenzi inakujaaaaa afu ndo unaweka au vp?
Mi naona wote wazugaji, huyu anajiita GOAT huku mwingine anajiita SIMBA mwingine nimemskia majuzi anajiita NYAULOSOHuyu kajiita G O A T haishabihiani na yule mualikwa aliyejimilikisha show
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwetu wakristu kitimoto ni G O A TUnamkosea sana mtaalam kiti-fire kwa sababu yeye alinganishwi na chochote
Hahahaaa umetisha.Mi naona wote wazugaji, huyu anajiita GOAT huku mwingine anajiita SIMBA mwingine nimemskia majuzi anajiita NYAULOSO
Sa si bora nikki mbishi haonekani kwamba anajipaisha anayejiita babu bomba?
It's Scars
Hahah samahani mkuu,next time nitafanya hivyo.Siku nyingine unaanza na tahdhar kaka kwamba jamani eeh kuna picha ya kishenzi inakujaaaaa afu ndo unaweka au vp?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahaaaaaaaa jipe moyo ukisema hivyo na Marlaw nae utasemaje?..he still there ndo maana yy kuandika hivyo tu ona tumeacha kazi zetu na wote tunajadili kiba fundi bwana majungu tuweke kule
Sent using Jamii Forums mobile app
great of all timeAna maanisha nini?
Mm naona anajitekenya mwenyewe na mashabiki wake mkuuKama Ni Goat Ya Mbuzi Yupo Sawa Bt Ile Nyingine Anajitekenya Bure
King ashajiita GOTI kitambo sema apendag show off 2Mpaka sasa msanii wa tanzania anayeweza kupewa wadhifa wa GOAT ni Platnumz pekeake. We utajiitaje GOAT wakati hupendi showoff, interviews hutaki kuzungumziwa hutaki labda wewe ni GOTI sio GOAT!
Hiyo ya WORLD ndo tunapopishana mzee kama hivyo manake bongo hakuna G O A T siyo kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app