Alikiba a.k.a Mfalme wa bongofleva alitoa nyimbo ya AJE,may 19,mpaka sasa ina 4,855,844+ views.
Yeye ni mwanamuziki mkubwa hapa Tz na Afrika kiujumla.Ana mashabiki wengi sana.Sasa kama yeye ni mfalme mbona ana views chache/? Je ni kwa sababu,
1.Nyimbo zake ni mbaya?
2.Mashabik wake hawamsupport?
3.Amechokwa?
4.Hajipromote?
5.Hajulikani nchi nyingi?
6.Mshamba wa video?
Yeye ni mwanamuziki mkubwa hapa Tz na Afrika kiujumla.Ana mashabiki wengi sana.Sasa kama yeye ni mfalme mbona ana views chache/? Je ni kwa sababu,
1.Nyimbo zake ni mbaya?
2.Mashabik wake hawamsupport?
3.Amechokwa?
4.Hajipromote?
5.Hajulikani nchi nyingi?
6.Mshamba wa video?