Victor Bravo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 261
- 238
Fid q bhaana alisema wanachowaza si kutengeneza akina ali kiba wawili au akina dimond wawili,ila wanawaza kumshusha mmoja ili mwingine ashine.. Big up the real NgoshaAlikiba yuko vizuri mimi huwa napenda sana nyimbo zake huwa anazipangilia harafu anasauti nzuri ya kuimba na lingine kubwa nyimbo zake huwa zina ujumbe unaoleweka ukisikiliza unapata msg tofauti na diamond ingawa diamond ni msanii mkubwa lakin anavyoimba havieleweki.