Alikiba agoma kufanya show Dodoma, vurugu zatokea

brave one

JF-Expert Member
Feb 5, 2013
4,876
7,366
Kwa mujibu wa shabiki nguli wa alikiba ,jana aligoma kufanya show dodoma katika clab ya perugina baada ya kutomaliziwa malipo yake.
Screenshot from 2016-12-26 14-09-39.png

Jana kulikuwa na show ya ally kiba dodoma perugina club kwa kiingilio cha 25000, watu wakaanza kujivuta japo si kwa wengi ila wale mashabiki wa ally kiba wakaja, basi subira ikaanza huku watu wakijua atapanda jukwaani saa 6 usiku bila mafanikio vurugu zikaanza kwa mashabiki kumdai ally kiba mpaka saa 7:40 walioko nje wakagoma kuingia ndani na walioko ndani wanataka kurudishiwa pesa,

Manager wa ally kiba aluvopigiwa akadai ally anataka kumaliziwa pesa yake ndio aje wakaja wakachukua pesa yao wakaondoka huku vurugu zikaanza saa 9 ally kiba akatokea na kundi la mamanager wake akagoma kupiga show kisa watu ni wa dogo pili amefika dodoma saa 7 usiku hakuwa na taarifa ya show mapema. Ndipo watu wakahamaki wakitaka kutoa kichapo mabaunsa wakampeleka hotelini

Baada ya hapo tumeenda kufanya kikao hotelini timekubaliana show apige tarehe 28 maana pesa walishalipwa

Nakubali isingeweza kurudi but ally kiba angefanya show yake akasepa kuliko kuzingua Saa 7ameingia dodoma akitokea dar !!
Je kafanya poa au kazingua? ???
 
Jana Ally Kiba alikua na show dodoma kiingilio ilikua elfu 25000, cha kushangaza mashabiki wa kiba kazi yao ni kumponda diamond...mara waiponde WCB beach party...mara show ya Iringa itabuma. ...Ivi nyie kwanini msiwe busy na kupromote vya msanii wenu ili aweze kufanya vizuri kama mond??matokeo show inabuma...watu hakuna utafikiri show ya isha mashauzi!! Mliulizia sana picha za wasafi beach party....haya tunaomba picha za jana dodoma....!!
 
Hivi hanaga menejimenti ...... Halafu iko kiingilio wamekosea au ndio usahihi wenyewe 25,000 ......???
Kwa dodoma 25,000 ni nyingi sana ukizingatia waendaji wengi na wana chuo na boom hawana kipindi hiki ndo maana waandaaji wakaona hasara kumlipa kiba
 
Kiba fans ....nimejulia hapa kuwa kiba alikuwa na show dom....na hii yote no kwa sababu haters wa mond badala wampost kiba wanampost platnum huku wakiweka caption za matusi na wanadhani wanamkomoa mond bt ndio hvyo iringa mond kapindua....nawanasema wataenda mikoa 10 km fiesta yaani
Sasa ushabiki wako huo utawezaje kujua kwamba Alikiba ana show Dodoma?
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom