Alijikuta ameshiriki tendo na familia nzima

Binti mrembo aliyebahatika kuolewa na kijana mhangaikaji sana. Yule kijana alifikia kufungua mini supermarket. Aliagizs tambua na makopo ya nyanya kutoka Italy, sabuni, na vyombo vya ndani kutoka Uturuki na bidhaa nyingi kutoka chini. Yote haya yalimfanya kijana kuwa busy mno, muda wake wa kukaa nyumbani ulikua mdogo sana.

Kwasababu ya malengo ya biashara, hela nyingi aliizingusha kwenye biashara. Yeye na mke wake walipanga apartment ndani ya gate wakiwa na wapangaji wengine. Land lord alipogundua binti mrembo yupo ndani peke yake muda mwingi alianza kuja na chupa za wine. Wine zilizaa mgegedo, landlord na binti wakaanza kulana kimasihara.

Wambea walimpa habari kijana, kumbuka kuna wale waliokopa vyakula kutoka mini supermarket, walipokosa pesa ya kulipa hata umbea pia! Kijana alikasirika alimpa nauli binti aende kwao.

Binti aliamua kwenda kwa wazazi wa kijana ili wambembeleze kijana wao na yeye ainusuru ndoa yake. Mama mkwe hakua tayari kwa hilo lakini baba alimwambia binti hapa ni kwenu karibu. Binti alianza kumpikia vyakula baba mkwe kabla hata ya mama kuweka chai asubuhi.

Kila alipopata nafasi alimsihi baba aongee na mwanae. Baba alianza kula mzigo. Mwisho binti alianza kutapika. Siku aliyomfuata baba amueleze ujauzito, shemeji wa mwisho alimuona nae aliyasikia aliyomueleza baba.

Shemeji akinwambia akitaka atunze siri basi na yeye aonje sukari iliyomlevya kaka na baba yake.
Naamini kabisa hiki ni kinywaji kwaajili ya wapendanao day.
 
Kuna dogo madogo Fulani walioa 2015 kisa kahitimu chuo kikuu anasubiria ajira zawalimu ,mpaka leo hawataki kuwasikia wake zao ni aibu ,unao kisa unasubiria ajira
 
Msimhukumu sana huyo dada, hakwenda kwenye ndoa kushangaa maendeleo ya jamaa.

Vijana wengi tunakosea, kama umeamua kuoa binti mbichi peleka moto, ukishindwa mfanye awe bize na kulea. Piga mimba 3 consecutive. Akishangaa anakaribia 35+ moto unapungua yuko bize na malezi..!
 
Binti mrembo aliyebahatika kuolewa na kijana mhangaikaji sana. Yule kijana alifikia kufungua mini supermarket. Aliagizs tambua na makopo ya nyanya kutoka Italy, sabuni, na vyombo vya ndani kutoka Uturuki na bidhaa nyingi kutoka chini. Yote haya yalimfanya kijana kuwa busy mno, muda wake wa kukaa nyumbani ulikua mdogo sana.

Kwasababu ya malengo ya biashara, hela nyingi aliizingusha kwenye biashara. Yeye na mke wake walipanga apartment ndani ya gate wakiwa na wapangaji wengine. Land lord alipogundua binti mrembo yupo ndani peke yake muda mwingi alianza kuja na chupa za wine. Wine zilizaa mgegedo, landlord na binti wakaanza kulana kimasihara.

Wambea walimpa habari kijana, kumbuka kuna wale waliokopa vyakula kutoka mini supermarket, walipokosa pesa ya kulipa hata umbea pia! Kijana alikasirika alimpa nauli binti aende kwao.

Binti aliamua kwenda kwa wazazi wa kijana ili wambembeleze kijana wao na yeye ainusuru ndoa yake. Mama mkwe hakua tayari kwa hilo lakini baba alimwambia binti hapa ni kwenu karibu. Binti alianza kumpikia vyakula baba mkwe kabla hata ya mama kuweka chai asubuhi.

Kila alipopata nafasi alimsihi baba aongee na mwanae. Baba alianza kula mzigo. Mwisho binti alianza kutapika. Siku aliyomfuata baba amueleze ujauzito, shemeji wa mwisho alimuona nae aliyasikia aliyomueleza baba.

Shemeji akinwambia akitaka atunze siri basi na yeye aonje sukari iliyomlevya kaka na baba yake.
Huyo Binti atakua Mgonjwa wa Ngwengwe
 
Back
Top Bottom