Alijaribu mara 1 na sasa kanogewa NIMSAIDIEJE?

Emasa

Member
Nov 14, 2008
38
2
Ninae rafiki yangu ambae ameamua kuweka wazi swala linalo msibu,Alifanya
Mapenzi na rafikie wa kiume(hawakukusudia) lkn katika michezo ya kushikana shikana
Walijikuta wanaishia kufanya mapenzi(akiwa hajafikisha miaka 20) anasema alipata maumivu
Lkn tangia hapo mpk leo(ana miaka 27) hisia zake kimapenzi kwa wanaume ni kali kuliko kwa wasichana
Na anaomba msaada TUTAMSAIDIAJE?
Kwa maelezo yake hajarudia tendo hilo lkn ndo hivyo anawa feel wanaume na hata akiwa na wasichana
Anakua haridhiki na tatizo kubwa limekuja sasa kwa sababu anataka kuoa na hajui afanyeje ili awe
Kawaida.....!!
 
mpe pole sana
ebu jaribu kwenda hospitali na kwa washauri m sure watajua jinsi ya kuwasaidia...
pia usisahau maombi kaka .uyo ni shetan anataka kukutawala.pls .ebu wai maombi.....
polen sana
 
duuuuuuuuuuh jamaa kashanogewa huyo halafu anatudanganya mara moja tu... utakuta ndo mchezo wake huyo
 
mimi nilivyoelewa ni wanaume wawili walifanya malovi dovi.....mmoja anataka kuoa lakini anajisikia kupenda sana wakaka

Mtoto unajua kusoma btwn the lines ............ jamaa sio risk tena huyo .........
Preta mmenyanganywa mmoja hapa ........:thinking:
 
Ukiisha onja nyama ya bata huwezi kuacha sasa atakuwa bisexual tu na hakuna jingine la kumsaidia......hata akifanyiwa operesheni haiwezi kuondoa shauku alionayo kwa wanaumme..........na wanaume wapo ambao wakimwangalia tu usoni wanajua ipo dili hapo sasa atawakwepaje?

Aoe lakini ajue ana kamtihani hapo.............kwa kihisia za kimahaba.......asingejaribu kabisa lakini kujaribu kunaonyesha tayari alikuwa na mweleko huo ila alikuwa hajapata wa kumshindilia mzizi wa uhakika............au niseme kumshawishi kuelekea huko?
 
kila kukicha matatizo sisi tutamsaidiaje kama yeye asipoikataa hali hiyo.na ilikuwaje mpaka wakajikuta wamefanya mapenzi na huyo rafiki yake ,swala ni kuwa walidhamilia kujaribu
 
Mtoto unajua kusoma btwn the lines ............ jamaa sio risk tena huyo .........
Preta mmenyanganywa mmoja hapa ........:thinking:

jamani jamani....ni nani huyo tena....:confused2:
 
Yalaaa... sijui imekaaje, akimaliza huwa anajinusa? dah, haya mengine yanatisha:nono:
 
alidhamiria kusukumiwa hiyo nyama nchi 6.kwann wanaume washikane shikane au kwann acngemchapa nao yy.
 
nii LAAAAANNAA:A S angry::A S angry::A S angry::A S angry::A S angry:NA MUNGU ANAMNGOJA HATA KAMA KAOONJA KWANI KAAMBIWA NI MCHUZI HUO AONJE HUO NI MCHUZIII???????:fencing:
 
kama hana interest na hayo mambo,sifikirii kama angekubali kushikana shikana na mwanaume mwenzie,angehisi uncomfortable tangu mwanzo.Inaonyesha hisia za mwanamme mwenzie zilikuwepo na akaona bora ajaribu,matokeo yake ndio akazidi kuchochea.na hata akioa atamtesa huyo mke wake,na kutafuta mwanamme wa pembeni.kwani wapo wanaume wengine wanafanya hivyo.wanaoa ili kufurahisha jamii na huku wana dume mwengine wa pembeni.kama yupo tayari kuacha huo mchezo,ajaribu maombi na asioe kwa sasa.
 
Mpe pole lakini aliyataka mwenyewe cha msaada hapo aende kwa KAKOBE akapigwe NENO.
 
Ninae rafiki yangu ambae ameamua kuweka wazi swala linalo msibu,Alifanya
Mapenzi na rafikie wa kiume(hawakukusudia) lkn katika michezo ya kushikana shikana
Walijikuta wanaishia kufanya mapenzi(akiwa hajafikisha miaka 20) anasema alipata maumivu
Lkn tangia hapo mpk leo(ana miaka 27) hisia zake kimapenzi kwa wanaume ni kali kuliko kwa wasichana
Na anaomba msaada TUTAMSAIDIAJE?
Kwa maelezo yake hajarudia tendo hilo lkn ndo hivyo anawa feel wanaume na hata akiwa na wasichana
Anakua haridhiki na tatizo kubwa limekuja sasa kwa sababu anataka kuoa na hajui afanyeje ili awe
Kawaida.....!!
alikula aliliwa?
 
mpe pole sana
ebu jaribu kwenda hospitali na kwa washauri m sure watajua jinsi ya kuwasaidia...
pia usisahau maombi kaka .uyo ni shetan anataka kukutawala.pls .ebu wai maombi.....
polen sana

Hujaacha tu kukonyezae...
 
Back
Top Bottom