sijawahi kuona matokeo ya kushangaza ya mtihani wa taifa yakitolowa kama ilivyotokea haya ya 2011 hapa Tanzania ,nimetembelea nchi nyingi na pia kusikiliza vyombo vingi vya habari vya kimatifa lakini sijasikia popote pale baraza la mitihani lilitumia mkokoto wake kupata matokeo ya mtihani wa taifa kama ulivyotumika 2011.
nimesoma darasa la kwanza hadi kumaliza masomo yangu ya juu, sijabahatika kuona Chuo au taasisi yoyote nchini imetoa matokeo ya mtihani kama ilivyofanya NECTA 2011
, Wanafunzi 52 wa chumba kimoja wanafutiwa matokeo na anabaki mmoja!, wanafunzi 150 wa shule moja wanafutiwa wanabaki 10 tena hao waaliobaki wanaambulia daraja la nne!,shule moja inafutiwa, shule ya jirani haiguswi hata kidogo?
Nchi kama Nigeria yenye wizi wa Mitihani duniani haijwahi kufikia baraza la Mitihani la Taifa likitoa matokeo ya Ajabu kama haya ya Ndalichako Upande wa Zanzibar.
Mwanafunzi aliefanya art anapewa d na F za sayansi.
Mwanafunzi aliefanya mtihani wa Chem na kuacha historia analetewa F ya historia. Hili ndilo Baraza la Ndalichako.
kuna Phd nyingi feki hapa Tz.
Inawezekana moja ni ya huyu mama .
Kama ni halali basi inawezekana kumepita jambo fulani kati ya msimamizi wake na phd yake.
1) Ni mmoja ya wasomi waliopoteza dira. anahiari kuangamiza taifa kwa manufaa yake. hataki tena malumbano na wanaharakati kwamba mitihani inavujishwa na NECTA.
2)Sijabahatika kuona au kusikia matokeo ya mtihani popte ulimwengu kama inavyotka Tanzania chini ya mama huyu
50 kati ya 51 wanafutiwa matokeo?
NANI ALIESOMA NAE TUUJUE UKWELI WA HUYU MAMA?
nimesoma darasa la kwanza hadi kumaliza masomo yangu ya juu, sijabahatika kuona Chuo au taasisi yoyote nchini imetoa matokeo ya mtihani kama ilivyofanya NECTA 2011
, Wanafunzi 52 wa chumba kimoja wanafutiwa matokeo na anabaki mmoja!, wanafunzi 150 wa shule moja wanafutiwa wanabaki 10 tena hao waaliobaki wanaambulia daraja la nne!,shule moja inafutiwa, shule ya jirani haiguswi hata kidogo?
Nchi kama Nigeria yenye wizi wa Mitihani duniani haijwahi kufikia baraza la Mitihani la Taifa likitoa matokeo ya Ajabu kama haya ya Ndalichako Upande wa Zanzibar.
Mwanafunzi aliefanya art anapewa d na F za sayansi.
Mwanafunzi aliefanya mtihani wa Chem na kuacha historia analetewa F ya historia. Hili ndilo Baraza la Ndalichako.
kuna Phd nyingi feki hapa Tz.
Inawezekana moja ni ya huyu mama .
Kama ni halali basi inawezekana kumepita jambo fulani kati ya msimamizi wake na phd yake.
1) Ni mmoja ya wasomi waliopoteza dira. anahiari kuangamiza taifa kwa manufaa yake. hataki tena malumbano na wanaharakati kwamba mitihani inavujishwa na NECTA.
2)Sijabahatika kuona au kusikia matokeo ya mtihani popte ulimwengu kama inavyotka Tanzania chini ya mama huyu
50 kati ya 51 wanafutiwa matokeo?
NANI ALIESOMA NAE TUUJUE UKWELI WA HUYU MAMA?