habari ya kusikitisha. Yule dada aliejieungua mapacha siku mabomu yalipolipuka G/mboto amefariki katika hospitali ya Muhimbili. Awali alikuwa hosp ya Kisarawe. Ni masikitiko. RIP dada. Ndg, jamaa na marafiki poleni. Source ya habari ni duru zetu radio one sterio