ndenjii handsome
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 647
- 704
- Thread starter
- #121
Ndio buloooJamii ya kuamini upuuzi
Ndio buloooJamii ya kuamini upuuzi
Chai tena hiyi ni livemameeee hiii chai ya kibabe
Hiyo story mbona ujaletaMrejesho huu hapa
Kwa kuwa ni tukio la kusisimua na kwangu niliona kitu ambacho hakiwezekani
Ikanibidi nichukue usafiri kwa ajili ya kwenda kushuhudia maana mambo ya kusimuliana chumvi zinakuwa nyingi
Hatimae nimewasili mtaan kwa yule mzee nikakutana na majilani zake nao wakiwa wanangoja kwa hamu kumuona yule mzee punde kama majila ya saa sita hivi
Tunaiona gari ikiingia kwenye ile nyumba ya marehem ikabidi tusogelee eneo la tukio
Dah kuja kucheki namuona yule mzee akishuka kwenye gari tena akiwa kwenye mavazi yale yale
Kiukwel majilan na watu waliokuwepo pale hawakuamini
Yule mzee akatoa salamu tukajibu nakuanza kuongea haya
Msiwe na shaka ni mimi nikweli mliona kama ajali ila ile ni kiini macho dada yangu ndio aliyenifanyia haya
Sikuile nilikuwa natoka hospitali kumwona mjomba wangu kipindi narudi nikajikuta ninausingizi wa gafula nikiwa njia basi nikasema ngoja nijipunguze mwendo nipunzike
Muda sio punde nikajikuta nipo sehem tofauti na mazingira niliyokuwepo ila kwakuwa mimi ni mtu wa mila nikajua kinachoendelea na kilichofanyika
Nikiwa huko huko nikafanya mambo ninayoyajua basi hatimae nikatokea sehem nakukuta watu wakiuzika mgombaa ila mimi sikuweza jitokeza kwenye macho ya kawaida mpaka mazishi yalipo kamilika
Kwa alivyoongea vile sikushangaa maana mwenyewe nilishawah kupanda kifuu cha nazi toka zambia mpaka tz mchana kweupe nitaleta stoli hapa ilikuaje
Mkuu nilikuwa jera huko paris nimetoka wiki iliyopitaHiyo story mbona ujaleta
OyoyooChai
Hicho nikisa kingine uweke 😂😂Mkuu nilikuwa jera huko paris nimetoka wiki iliyopita
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Ni mapunga kabisaHiv mnatuonaje watanzania???? Sisi ni maz
uzu au???
...kwamba ni 'Stoli' na sio 'Story', inazidi kutia shaka!Ni stoli ya kweli kabisa
hapa ni kudai katiba mpyaNi mapunga kabisa
mwamba kazingua...kwamba ni 'Stoli' na sio 'Story', inazidi kutia shaka!