KOMBAJR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 5,827
- 1,271
Inasemekana aliyebambikwa kesi ya kumteka Dr. Ulimboka alifikishwa mahakamani kinyemela jana! Kweli polisi wanajua watz hamnaz
Kama alikiri mbele ya hao ambao alienda kutubu ya kuwa yeye ndiye muhusika imekuwaje tena akane mashtaka?bosheni