Aliebahatika kupata chuo kwa kutumia matokeo ya foundation ya Open aje hapa

44mg44

JF-Expert Member
Jun 16, 2019
2,135
2,139
Wahitim weng wa Foundation progra wanalalamika kuwa hawajapata chuo kwenye first round!

Wew uliebahatika kupata kwa kutumia hayo matoke ya Foundation course njoo uwape moyo wenzio,ikiwezekana uwaambie na ufaulu wako ulikuwaje!

Karibun wadau
 
Dah polemi sana khna dogo kasoma foundation course ajapata ngoja ni msikilizie hapa afanyaje ili apate.
 
Wakuu kitu kimoja mnatakiwa kunote ni kwamba hakuna chuo kinachodahili watu kutoka foundation! Labda wakufikirie chuo ulichotoka b4 hujasoma hyo foundation, napo kuna mawili wakuchukue au wakuteme. In short foundation course kupata chuo huwa ni ngumu!

Nakumbuka wakati nipo diploma kuna lecturer alikuwa anatuchana kabisa, anakwambia kama ukishindwa kupata gpa ya 3.0 kwenda bachelor ni bora urudie upyaaa kusoma diploma ila usijisumbue kusoma foundation sababu hakuna chuo kitakachokuchukua!.

Ila msikate tamaa jaribuni kuomba second round kila mtu na bahati yake hamuwezi jua.
 
Wahitim weng wa Foundation progra wanalalamika kuwa hawajapata chuo kwenye first round!

Wew uliebahatika kupata kwa kutumia hayo matoke ya Foundation course njoo uwape moyo wenzio,ikiwezekana uwaambie na ufaulu wako ulikuwaje!

Karibun wadau
Omba archibishop mihayo tabora kuna dogo kapata hapo sema ni bsch of arts with education ya faida kwake mana ni inservice
 
Wapo wengi Sema unategemea na program inayotokana kusoma
Mim nimepanga nkasome bachelar of scince with education kwa masomo ya Physics na Chemistry,niapply chuo gan ambao wataweza kunchukua kwa kutumia matokeo ya Foundation course??? kumbuka mim ni mwalimu tayar najiendeleza tu
 
Mim nimepanga nkasome bachelar of scince with education kwa masomo ya Physics na Chemistry,niapply chuo gan ambao wataweza kunchukua kwa kutumia matokeo ya Foundation course??? kumbuka mim ni mwalimu tayar najiendeleza tu
Hayo masomo hukupaswa uwe umepitia Foundation,anyway omba open
 
Mim nimepanga nkasome bachelar of scince with education kwa masomo ya Physics na Chemistry,niapply chuo gan ambao wataweza kunchukua kwa kutumia matokeo ya Foundation course??? kumbuka mim ni mwalimu tayar najiendeleza tu
Marian university wanakuchukua Mimi nmepata hapo kupitia ofp
 
Wakuu kitu kimoja mnatakiwa kunote ni kwamba hakuna chuo kinachodahili watu kutoka foundation! Labda wakufikirie chuo ulichotoka b4 hujasoma hyo foundation, napo kuna mawili wakuchukue au wakuteme. In short foundation course kupata chuo huwa ni ngumu!

Nakumbuka wakati nipo diploma kuna lecturer alikuwa anatuchana kabisa, anakwambia kama ukishindwa kupata gpa ya 3.0 kwenda bachelor ni bora urudie upyaaa kusoma diploma ila usijisumbue kusoma foundation sababu hakuna chuo kitakachokuchukua!.

Ila msikate tamaa jaribuni kuomba second round kila mtu na bahati yake hamuwezi jua.
NOTE : Wabongo ni watu wakitofauti Sana
Kama kitu huna taarifa nacho kamili , Bora ukaushe

Foundation course , ya kipindi hiki ni mpya hata ufahamu wake ni mdogo Sana , hvyo hata kupata chuo mako kunakuwa kugumu
Ni ombi usikate tamaa omba mpaka round ya mwisho
Nna ndugu yangu kamaliza mwaka Jana Aliomba chuo akapata na HeLsb wamempa mkopo vizuri tu
Chuo utapata Ila unaweza chukua muda
 
Mim nimepanga nkasome bachelar of scince with education kwa masomo ya Physics na Chemistry,niapply chuo gan ambao wataweza kunchukua kwa kutumia matokeo ya Foundation course??? kumbuka mim ni mwalimu tayar najiendeleza tu
Apply Open. Ingia kwa web. Then omba online. Tena itakufaa mwl. Na loanboard omba
 
waliosoma hii foundation course,, vp mitihan yake ikoje? maana naskia huwa migumu balaa...
 
Nilisoma foundation mwaka 2019. Chuo unapata kabisa kuna walio pata st joseph.udom na saut. Hivyo wanachaguliwa vyuoni. Kupata first bitch kwenye selection ya vyuo vingine ni ngumu kwani mda wa kutuma maombi huwa matokeo yana kuwa bado hayajatoka.
 
Nilisoma Udom Diplom in Kiswahili kutokna na kufanya biashara huku nasoma sikubaatika kupata gpa nzuri nikapata gpa ya 2.7 sasa nataka kusoma foundation Mwenye uwelewa kuhusu hiki chuo anisaidie tafadhali
 
Back
Top Bottom