mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,704
Pamoja na kutojua sana Sheria za Serikali za Mitaa bado naamini Alichovuliwa Isaya Mwita ni Umeya wa Jiji lakini sio Udiwani.
Na kama ndio hivyo Isaya Mwita ana haki ya kushiriki Vikao vya Baraza la Jiji kama Madiwani wengine akiwawakilisha Wapiga kura wa Vijibweni.
Swali langu kwanini anazuiliwa kuhudhuria vikao ambavyo yeye ni Mjumbe ?
Kwanini Waziri mwenye dhamana halitolei Ufafanuzi suala hili ili wananchi hasa wa Vijibweni wakajua hatima ya Diwani wao?
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kama ndio hivyo Isaya Mwita ana haki ya kushiriki Vikao vya Baraza la Jiji kama Madiwani wengine akiwawakilisha Wapiga kura wa Vijibweni.
Swali langu kwanini anazuiliwa kuhudhuria vikao ambavyo yeye ni Mjumbe ?
Kwanini Waziri mwenye dhamana halitolei Ufafanuzi suala hili ili wananchi hasa wa Vijibweni wakajua hatima ya Diwani wao?
Sent using Jamii Forums mobile app