Shilandula
Member
- Nov 30, 2019
- 6
- 6
Jana tumesikia Mwakilishi wa Wasanii BASATA akibariki Kifungo cha Mwanamuzi mwenzake Rosa Ree kwa Miezi Sita cha kutofanya shughuli za Muziki.
Kwangu mimi naona haikuwa sawa kwani yeye kama Mtetezi wa Wasanii BASATA angefanya la maana kama kumuita msanii husika na kukaa naye na kuona nini kilimkumba mpaka akashirikishwa na Mkenya katika Wimbo ule na kuona jinsi sahihi ya kumsaidia kama msanii mwenzake.
Kuna msemo ulitolewa na Rais fulani kuwa “Kumnyima Mtu Kufanya Kazi ni Kumnyima Kula”
By Papa Shilandula
Pia, tembelea Mjumbe wa BASATA, Mwana Fa kudai hawezi kumtetea Rosa Ree kwani nafsi inamsuta. Ni sawa?
Kwangu mimi naona haikuwa sawa kwani yeye kama Mtetezi wa Wasanii BASATA angefanya la maana kama kumuita msanii husika na kukaa naye na kuona nini kilimkumba mpaka akashirikishwa na Mkenya katika Wimbo ule na kuona jinsi sahihi ya kumsaidia kama msanii mwenzake.
Kuna msemo ulitolewa na Rais fulani kuwa “Kumnyima Mtu Kufanya Kazi ni Kumnyima Kula”
By Papa Shilandula
Pia, tembelea Mjumbe wa BASATA, Mwana Fa kudai hawezi kumtetea Rosa Ree kwani nafsi inamsuta. Ni sawa?