Bulamba
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 13,191
- 12,372
Ata ukimwi tunaishi nao kwa kutumia ARV sio kwa maombi ya kitaifaAlichosema hayati JPM sasa kimeenda kutimia maana sasa UVIKO-19 unakuwa ugonjwa tutaoishi nao katika jamii.
Hayati alisema mapema kama jamii tujiandae kuishi na hili gonjwa. Tujiandae
Sasa tunashudia hali ilivyo katika jamii yetu. Watu wanaugua, wengine wanapona na wengine Mungu anawachukua.
Jambo la msingi ni kuchukua tahadhari na kuzingatia kanuni za afya. Maana hili gonjwa lipo kwenye jamii na tunaishi nalo