Bizz_sam
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 291
- 131
Ni baada ya chuo cha Kampala International University (KIU) kuwepo kwenye orodha ya vyuo ambavyo vimefungiwa kudahili mwaka huu iliyotoka tcu, Afisa masoko wa KIU katoa MREJESHO huu pale alipoulizwa huko kwenye maonesho ya vyuo vikuu.
Kwa maelezo aliyoyatoa huyo afisa masoko sidhani kama yaleta mantiki. Labda nyie wadau mnaonaje?
Kwa maelezo aliyoyatoa huyo afisa masoko sidhani kama yaleta mantiki. Labda nyie wadau mnaonaje?