Nyoka_mzee
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 3,695
- 5,515
Mkuu anajaribu kumfuta nape kwa umaarufu kama hamjaelewa maana kashajua anapoteza kuungwa mkono na wadau wa sanaaa
Sijui huyo hawala yako bwana bashite jambazi aka Paulo anahali gani huko alipo! Mbona mwaka huu analo , sasa ataimbwa mpaka akomeAnariiiiinga huyooooo!
Haya ringa
Hapa kazi tu
Hahaha, eti Caesar the merciful.Ceasar the merciful a.k.a Magu the marciful no rule of law wala separation of power
umebadilika sana siku hizi,au nakufananisha?Hakuna Chizi Mwenye Diplomasia!
umebadilika sana siku hizi,au nakufananisha?
Kolomije kunafaaTunatakaa video ya wimboo sasaa cjui itafanyikaa south au wap
Kuna walionuna nay kuachiwa huru?Anariiiiinga huyooooo!
Haya ringa
Hapa kazi tu
Dah ila u guy mtu wa ajab xana yaan we n kusifia tu ujinga unaofanywa na hii serikali ya mkurupuko na matamko ya hovyo au wanakunanihi nnAnariiiiinga huyooooo!
Haya ringa
Hapa kazi tu
Hakuna Chizi Mwenye Diplomasia!
Mimi nadhani awe makini , huenda anaandaliwa zengwe zito. Maana kwa ujumbe wa wimbo huo si kirahisi kihivyo mkuulu kumuacha isitoshe kum_ support pia!Kumruhusu ni kwamba alichoongea ni ukweli na hakina uchochezi
Fact isijekuwa wanatafuta njia ya kumpotezaMimi nadhani awe makini , huenda anaandaliwa zengwe zito. Maana kwa ujumbe wa wimbo huo si kirahisi kihivyo mkuulu kumuacha isitoshe kum_ support pia!
Naam! Awe makini sana. Tabia ya mkuu ilivyo si ya kukubali kuitwa" doctor wa majipu, ndugu yake yesu, asiyetaka ushauri wala kukosolewa na pia eti amelogwa" halafu afurahie tu kirahisi. Namshauri Ney awe care kuliko kawaida. Huenda siku za usoni akapotezwa kimya kimya Na wakati huo hakutakuwa na mtu wa kutaharuki kama ambayo angetendewa hayo siku chache baada ya kukamatwaFact isijekuwa wanatafuta njia ya kumpoteza
Kabisa mi mwenyew ilinishtua kiukwel mtu kapelekwa central mara kaachiwa na kuambiwa wimbo.wake ni mzur kirahis tuNaam! Awe makini sana. Tabia ya mkuu ilivyo si ya kukubali kuitwa" doctor wa majipu, ndugu yake yesu, asiyetaka ushauri wala kukosolewa na pia eti amelogwa" halafu afurahie tu kirahisi. Namshauri Ney awe care kuliko kawaida. Huenda siku za usoni akapotezwa kimya kimya Na wakati huo hakutakuwa na mtu wa kutaharuki kama ambayo angetendewa hayo siku chache baada ya kukamatwa