Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 5,352
- 14,629
Mfanya biashara billionea wa Tanzania bwana Rostam Aziz leo akizungumza kwenye kongamano la wafanyabiashara kati ya Tanzania na Kenya kwenye ziara ya rais Samia amesema mazingira ya uwekezaji kati ya hizi nchi mbili hayako sawa.
Rostam amesema ni rahisi sana kwa Mkenya kuwekeza Tanzania lakini ni ngumu sana kwa Mtanzania kuwekeza Kenya ndiyo maana makampuni mengi ya Wakenya yapo Tanzania na makampuni machache sana ya Watanzania yapo Kenya.
Rostam ametolea mfano kuwa mwaka 2017 aliongea na Rais Uhuru ili aende kuwekeza kwenye sekta ya gesi lakini mpaka sasa unaenda mwaka wa nne hakuna kilichofanyika.
My take
Rais Samia kuwa makini na wakenya ni wazalendo kupitiliza wa nchi yao wako tayari kusingizia mlima Kilimanjaro upo Kenya ili wapate watalii. Kenya wako tayari wawe wazalishaji (producers) na nchi nyingine kwenye jumuia ya Afrika mashariki ziwe watumiaji(consumers)
Rais Samia usisikilize kelele za majinga chadema ambayo yanachokijua ni kushangilia tu.
Mwananchi
Rostam amesema ni rahisi sana kwa Mkenya kuwekeza Tanzania lakini ni ngumu sana kwa Mtanzania kuwekeza Kenya ndiyo maana makampuni mengi ya Wakenya yapo Tanzania na makampuni machache sana ya Watanzania yapo Kenya.
Rostam ametolea mfano kuwa mwaka 2017 aliongea na Rais Uhuru ili aende kuwekeza kwenye sekta ya gesi lakini mpaka sasa unaenda mwaka wa nne hakuna kilichofanyika.
My take
Rais Samia kuwa makini na wakenya ni wazalendo kupitiliza wa nchi yao wako tayari kusingizia mlima Kilimanjaro upo Kenya ili wapate watalii. Kenya wako tayari wawe wazalishaji (producers) na nchi nyingine kwenye jumuia ya Afrika mashariki ziwe watumiaji(consumers)
Rais Samia usisikilize kelele za majinga chadema ambayo yanachokijua ni kushangilia tu.
Mwananchi