BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Mengine yanaumiza hayasemeki. Nafurahi kuona boss Mo is back na amekiri yaliotokea jana n bahati mbaya yameisha back to league.
Yule ni mtu mzima ana moyo wa binadamu jamani; hana moyo wa plastick. Majuzi tu bilioni nne zimekwenda lazima aumie.
Naomba niseme kwa maneno haya hajakana kujiuzulu; amegeuza maneno aliyoyasema na sasa tuko naye pamoja.
Kukana ni kukataa maneno ambayo hujasema.
Mh wangu amesema ya jana ya bahatimbaya. Akili za mkubwa ongeza na zenu; wengine mlitarajia aombe radhi, ng'oo sahauni!
Yule ni mtu mzima ana moyo wa binadamu jamani; hana moyo wa plastick. Majuzi tu bilioni nne zimekwenda lazima aumie.
Naomba niseme kwa maneno haya hajakana kujiuzulu; amegeuza maneno aliyoyasema na sasa tuko naye pamoja.
Kukana ni kukataa maneno ambayo hujasema.
Mh wangu amesema ya jana ya bahatimbaya. Akili za mkubwa ongeza na zenu; wengine mlitarajia aombe radhi, ng'oo sahauni!